DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Sisi bado șana katika attacksMbona umeshindwa kufunga 2 clear chance unalenga kipa sasa hapo nani bado sana?
Nyinyi bado sana katika defence.
Sisi bado șana katika attacksMbona umeshindwa kufunga 2 clear chance unalenga kipa sasa hapo nani bado sana?
Mkuu timu kushinda jana na tukiwa tunacheza tia maji tia maji February ndio ujue ubingwa unarudi Anfield....
Kwanza nyie kupata clear chance sio bahati mbaya mbali ni mipango ndugu.. Na Allison kuokoa sio bahati mbaya mbali ni kipa wa levo hizo hatutegemea afungwo kirahisi,.. Kuokoa tena kutoka kwa Lacazatte ndio ujue tulimaanisha pointi 3 zinabakia home jana...
Tangu mwezi wa pili ndugu kuna loss of form timu yetu hilo lipo wazi lakini hatutegemea wachezaji wote wapoteana kwa pamoja hivyo jana wame step up sawa sawa kwa pamoja kasoro Keita kwa mbali naona bado ana struggle kuedana na timely intensity lakini bila shaka litapita na atakua powa..
Mikel alikosea karata zake kukosa kumuanzisha Ceballos, dogo ana pasi tamu balaa...
Tukutane Carabao...
YNWA
Ahaha Arsenal bado wabahatishaji tu mkuuKwa kubebwa kunusurika na redcard?
Amepiga kipepsi kama cha mkude,
Mkuu AB ni sehem ya Ulinzi ndio maana alitoka jamaa lenu likashikwa kiwewe likafanya ujinga twiceTimu yenu bado sana, tukiacha ushabiki...
Eneo la ulinzi linachuja vibaya mno, Lacazette kapata clear chance mbili akiwa yeye na Becker, boooom
Hii sio liver ya kusema haya uliyoyasema labda kiushabiki tu,
Hongera kwa ushindi, kila mtu ashinde kwake
Jota ni balaa..Record ya jana Usiku:
Goli la 3 lililofungwa na Jota limekuwa goli lá 400 kufungwa na LFC katika ligi tangu Jurgen Klopp aanze kuinoa lfc,,,,akiwa na jumla ya michezo 185 ya ligi....
Rekodi hii haijawahi kufikiwa tangu kuundwa kwa LFC 🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️-
YNWA
Haya yote wameyataka VAR.Jota ni balaa..
Miaka 23 tu aisee..
Katupenda mwenyewe..
Shine on Jota...
YNWA
NakubaliDullyJr na Aaron Arsenal msikomae sana na matokeo ya jana jibu hili hapa
"Martinez was sold to Aston Villa for £25m after Arteta could not guarantee him a nod ahead of Leno. Obviously, Martinez was at the heart of Arsenal defence during Leno rehabilitation. Martinez marveled the world by his standout performance which earned Arsenal two trophies".says Tony Adams..
Leno ni Kepa mwingine...
Martinez was the real deal na pale Villa wamepata mchezaji..
YNWA
Nilichomaanisha najua kuwa umekielewa, kwa nafasi ziľe alizopata Lacazette, Sadio hakuachiMkuu AB ni sehem ya Ulinzi ndio maana alitoka jamaa lenu likashikwa kiwewe likafanya ujinga twice
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu walisema jota atafailJota ni balaa..
Miaka 23 tu aisee..
Katupenda mwenyewe..
Shine on Jota...
YNWA
Na hiyo ndio tofauti yetu na yenu mkuuNilichomaanisha najua kuwa umekielewa, kwa nafasi ziľe alizopata Lacazette, Sadio hakuachi
Hahahaha Klopp kamtazama miaka 3 huyu dogo...Kuna watu walisema jota atafail
Matokeo yake kina thiago Silva uko ndo wameporomoka.
Kwa hiyo wewe ukisajili ndio wachezaji ila wenzio wakisajili ni machezaji,Klopp huyu ni kocha mwenye kujua matumizi sahihi ya akili tunajivunia kuwa nae.
Nnachoona anatafuta backup ya kila mchezaji wa first eleven yetu taratibu bila kuvamia soko kama kina Chelsea .niliposema wamejaza machezaji mengi kwa wakati mmoja ollachuga akabisha .
Ona sasa hata lampard mwenyewe hajui atawatumia vipi..
Hakunaga mjerumani mjinga