Mkuu bado mnaongoza 2-0?auMpaka sasa tunaongoza mbili bila wafungaji ni Werner na Azpiqueta.
Mkuu mbele ya Klopp mbona sina ubishi..
Sina shaka na Thiago...
YNWA
Thiago completed more passes (75) than any Chelsea player today.
He only played 45 minutes
Bado Bobby hajarudi kwenye form ingawa katoa assist kwa Mane goal la kwanza. Robbo ndio mashine kwa jinsi anavyopanda na kushuka. Jamaa hachoki. Kwenye kikosi yeye ndio bado yupo kwenye kiwango chake Cha msimu uliopita. Tena inawezekana akawa kiwango kimepanda.
Thiago, kacheza vizuri na Kuna makubwa yanakuja. Tabarezi fabbinho huyu jamaa ni kiraka. Kwa mbali nishaanza kuona shape ya kikosi chetu Cha msimu kitakavyokuwa kinacheza. Soon Heddo ataanza kuanzia bench,.
Eti eeeeLeo jogoo ananyonyolewa manyoya chin ya daraja
Muite Huyo jamaaTukutane baada ya mechi
Ole wako ukomentiWewe unadhani Liverpool atashinda leo? Liverpool akishinda leo sikomenti humu adi ROUND YA KWANZA IMALIZIKE.
Vice versaYeyote ambaye ana uhakika liverpool atashinda atakuwa amekosea sana. Mimi nina uhakika tunawapiga mbili bila.
Twende darajani
Zouma na tomori