Adjustments.jpg
 
Net spend for the last 5 years..
Ipo hivi kwa miaka mitano iliyopita tumenunua wachezaji kwa 470.9m na kwa miaka mitano iliyopita tumeuza wachezaji kwa £378.5m hivyo ukitoa tulichouza na tulichotumia kununua utaona wamiliki ama klabu waliongezea £92.4m...

Je kwa washindani wetu hali iko vipi kwa miaka 5 iliyopita..
Manchester City wamenunua wachezaji wa £818. 5m na wameuza wachezaji £312.9m hivyo wenye timu ama timu waliongezea £505.6m..

Manchester United wamenunua wachezaji kwa £611. 1m na wameuza wachezaji kwa £232.2m na wenye timu ama klabu ikaongezea £378. 9m..

Chelsea wamenunua wachezaji wa £656.9m na wameuza wachezaji kwa £523.6m hivyo wenye timu ama klabu ikaongeza £133.2m

Arsenal wamenunua wachezaji wa £443.1m na wameuza wachezaji kwa £192.4m huku wenye timu ama klabu ikaongezea £249.0m..

Kwa ufupi Klopp na FSG kwa hio misimu mitano wametumia net spend per season ya £18.8m(£92.4m÷ 5years) ambayo ni minimal ukilinganisha na washindani wetu..

YNWA
That means hao FSG wanakula hela ya LFC haiwezekani tukasifia netspend ya 18m GBP per season wakati Club inaingiza zaidi ya 500m GBP Kwa msimu Kwa sasa
 
mkuu daglish alinifanya nione vibanda uzima vichungu sana, eti kati yupo jay spiring sijui yule


flanagan alipotelea wapi aisee? robson je? dah nimekumbuka mbali sana
Hahaha 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️ukiwasema hao mwili unasisimka yaani enzi hizo hata kuvaa jezi ya Liverpool ilikua noma sana yaaani..

Jerry the next Steven G haha

Flanagan haha Red Cafu yupo Rangers kwa Gerrard...

Tumetoka mbali mno kwenye kusajili yaani..

YNWA
 
Ngoja asajiliwe kweli apate time ya kucheza ili tuone kile Klopp alichokiona

Maana honestly huyu dogo ndo nimemjua Leo na YouTube clip huwa siziamini
Yeah ndugu kwa huyu naamini scout department itakua imejiridhisha vya kutosha kwamba anafaa kuja kumsaidia Robbo...

Muda utasema aisee..

Uzuri Robbo hanaga ma injury ya mara kwa mara hivyo sina wasiwasi...

YNWA
 
That means hao FSG wanakula hela ya LFC haiwezekani tukasifia netspend ya 18m GBP per season wakati Club inaingiza zaidi ya 500m GBP Kwa msimu Kwa sasa
Mkuu hawa FSG ni noma sana yaaani wame master how to make profit in the game since wampate Klopp...

Na pazuri ni pale Klopp hua sio mtu wa mdomo mdomo kuwasema mabosi wake so you have to read between the lines...

Ukitazama wenzetu wanavyotumia pesa hata bila kuuza ndio utaelewa tupo na wamiliki very economical ile mbaya..

Mwaka 2010 walinunua Liverpool kwa £300m na sasa Liverpool is worth £2.19b according to Forbes.. Hivyo unaweza ona how guys hit a jackpot in buying this great club..

So hizi taarifa hakuna ela ya kununua ama kulipa mishahara ni bla bla..

Kuodoka kwa Lovren, Clyne, Lallana hao kwa pamoja combined week salary ilikua ni £248,000/= meaning payroll imepumua parefu...

Nwa ni mapema mno ebu tuwe na subira..

YNWA
 
Ngoja asajiliwe kweli apate time ya kucheza ili tuone kile Klopp alichokiona

Maana honestly huyu dogo ndo nimemjua Leo na YouTube clip huwa siziamini

Sisi hatuna tatizo la lefta back bali tulikuwa na tatizo la backup ya left back, Na huyu tuliyemnunua ni left back! Hivyo FSG hapa wamenunua Backup player tu wa kumsaidia Robertson ndiyomana hata chaguo halisi la Klopp (Jamal Lewis) hawakulipa kipaombele.
Kwahiyo bado hatujasajili mchezaji wa kuanza.

Hapa FSG wametupiga changa la macho tu waonekane na wao wamesajili kutokana na kulalamikiwa na Mashabiki.
 
That means hao FSG wanakula hela ya LFC haiwezekani tukasifia netspend ya 18m GBP per season wakati Club inaingiza zaidi ya 500m GBP Kwa msimu Kwa sasa
mkuu usisahau kuna upanuzi wa uwanja, training complex mpya, mishahara na mengine mengi.........somehow fsg wanaendesha club vizuri, tuko stable sana kwa sasa......


japo ndio pesa hawatoi kivile, ngoja tuendelee kungoja ila tulitegemea baada ya Nike kutua kutakua na usajili wa watu wenye majina
 
Back
Top Bottom