huo usajili wa pjanic wenyewe naona barça wanajichimbia shimo tu...... mkuu at 29 aproaching 30 sidhan kama mchezaji kama huyo tunamhitaji


liverpool sio sehemu ya kula pension, kwangu mimi bora tuwekeze kwa kijana under 23 hata kama bei yake itakua mara mbili ya thiago!,,, wakati huu tukiwa top ndio muda mzuri wa kujenga timu ya baadae vinginevyo tutarudi kule kule

Mkuu yaani uwe PL winner halafu unaanza tena kuwekeza kwa under 23?

'Vinginevyo tutarudi kule kule' sasa wewe ndo unataka turudi huko na hao under 23 wako
 
Mkuu yaani uwe PL winner halafu unaanza tena kuwekeza kwa under 23?

'Vinginevyo tutarudi kule kule' sasa wewe ndo unataka turudi huko na hao under 23 wako
dah...... mkuu kwamba hujanielewa au?


specifically nilikua na maana ya wachezaji wenye uwezo ila umri wao sio mkubwa!... hao wa late 20's wamejaa pale, tunahitaji mchanganyiko ili timu isipotee nyote!


mkuu kwa umri wa wachezaji wetu mhimu na kwa style ya klop msimu ujao bila usajiri wa 'damu changa' tutakua hatarini.....
 
Baada ya Invincible ya Arsenal 2003/4 na kumalizika kwa Timu yao Completely 2006 na Arsen Wenger akaanzisha project ya kuwekeza kwa Vijana ambapo alianza kuibuka na kina Welcot, Clichy, OX, Gibs n.k. nadhani unajua kilichotokea mpaka kufikia leo.

Barcelona kizazi cha LAMACIA ni Messi peke yake ndiye aliyejihakikishia Ustaa akiwa Mdogo! Hao kina XAVI, INIESTA, BISQUET, PIQUE walisubiri kina DECO, YAYA TOURE, MARQUEZ, RONALDINHO kuwapokea Wakongwe hao wakiwa tayari wameshapevuka.

Kwahiyo MAKOMBE yanahitaji Watu waliokomaa na siyo Vitoto vya U23
mkuu, unaonaje wachezaji rika la wener, harvetz, na wenye uwezo kama huo wakaongezwa walau wawili..... utakua na mashaka kuhusu future yetu?


mimi ninavo elewa unapokua peak ndio wakati wa kuongeza promising talents ili uweze kuwa intergrate na wale ambao umri wao unakimbia!.......


mistakes za wenger, technically hata Saf alifanya hizo hizo misimu yake ya mwisho, matokeo yake tunaona utd wakalazimika kujenga upya timu, same kwa asernal...... na sisi tukitegemea wachezaji wa umri ule wa thiago aisee i'm afraid tutakua hatarini
 
IMG_8355.jpg
 
Liverpool XI: Alisson, Alexander-Arnold, Gomez, Van Dijk, Robertson, Keita, Fabinho, Oxlade-Chamberlain, Salah, Origi, Mane.

Subs: Adrian, Wijnaldum, Firmino, Henderson, Minamino, Shaqiri, Jones, Elliott, Williams.

Aston Villa XI: Reina, Konsa, Hause, Mings, Taylor, McGinn, Douglas Luiz, Grealish, Trezeguet, El Ghazi, Davis.

Subs: Nyland, Lansbury, Nakamba, Hourihane, Samatta, Jota, Guilbert, Elmohamady, Vassilev.
 
Usije ukashangaa kuona hata kwenye game hii hawa kina Elliot, Jones na Williams wasigaiwe hata dakika 15 kwenye game ya leo na baadae wakaishiwa kuingizwa walewale wa siku zote ambao hawana tena jipya la kuprove au kuimprove.
 
huo usajili wa pjanic wenyewe naona barça wanajichimbia shimo tu...... mkuu at 29 aproaching 30 sidhan kama mchezaji kama huyo tunamhitaji


liverpool sio sehemu ya kula pension, kwangu mimi bora tuwekeze kwa kijana under 23 hata kama bei yake itakua mara mbili ya thiago!,,, wakati huu tukiwa top ndio muda mzuri wa kujenga timu ya baadae vinginevyo tutarudi kule kule
Mkuu hao unaoita vijana wanahitaji seniors kuwakuza and to mentor them pia winning mentality is gained by winning trophies oftenly and who else is more suitable than this decorated Thiago..

So hawa akina Jones pekee hawatoshi kutuweka juu we need a mix blend of players..

Klopp hua hanunui kama Rodgers kuleta akina Mario for the sake of buying , ukiona Klopp anamhitaji mchezaji basi ujue anakuja kutuboresha so in Klopp i trust..

YNWA
 
Angalau Walioonesha uhai FH ni

Salah
TAA
VVD

The rest I don't why they're doing kwenye pitch
 
Back
Top Bottom