IMG_8266.jpg
 
Chelsea walimnunua Pulisic Kwa mbwembwe
Kiko wapi?

Mkuu Liverpool msimu huu wanaenda kuchukua ubingwa,wameanza msimu hawajasajiri mchezaji yoyote wakikosi cha kwanza.kuna timu kama Man U.walitumia hela nyingi sana kusajiri lakini kikowapi wapi leo,yupo anagombea nafasi ya nne huko.

Kwa utawala huu wa klopp timu zitaendelea kupata hasara maana wanatumia hela nyingi mwisho wa msimu wanataka mikono mitupu.

Huyo pulisic mkuu me niliogopa mpaka nikaanza kumlaumu klopp anazingua kwa nn ajamsajiri huyo?

mashabiki wa Chelsea waliamini watatisha na walianza kwa mbwewe sana.

Klopp siku zote anaona mbali sana,waache waendelee Kipigwa zama zimebadilika.
 
Gomez


btw, bila kusajili kitu cha uhakika hapo mbele next season tutapata shida sana jamani!

kumkosa Werner kwangu ni maumivu sana, hatuna mbadala pale mbele, sijui klop anawaza nini muda mwingine

Mkuu inawezekana akasajiri ila kwa ile hela klopp ndio maana ameona asimsajiri ,akachukue strike mwingine kwa bei rahisi amfanye awe world class player.

Kwa fekir niliumia sana ila ndio hivyo sasa walikuwa wanataka hela nyingi timu kwa sasa kama ya Arsenal wenger budget kwa kwenda mbele.
 
[QUOTE="Ladder 49, post: 35605743,

Klopp siku zote anaona mbali sana,waache waendelee Kipigwa zama zimebadilika.
[/QUOTE] minammo wenu kasajiliwa kafanya kit gan apo Liverpool
Solanke nae alisajiliwa na nan
 
[QUOTE="Ladder 49, post: 35605743,

Klopp siku zote anaona mbali sana,waache waendelee Kipigwa zama zimebadilika.
minammo wenu kasajiliwa kafanya kit gan apo Liverpool
Solanke nae alisajiliwa na nan[/QUOTE]

Anakuja kuchukua nafasi ya lallana. Hatuna wasiwasi na minamino kwa sasa Bado ajaingia kwenye mfumo wa klopp bado.ndio maana wachezaji wa bei rahisi wa klopp wanakuwa tishio anakutengeneza mpaka anaanza kukuamini inaweza ikawa nusu msimu.na uzuri wake mashabiki tu alikuwa hilo.

Liverpool mfumo ndio unacheza,wachezaji wa bei rahisi lakini ndio mabingwa wa dunia.
 
Gomez


btw, bila kusajili kitu cha uhakika hapo mbele next season tutapata shida sana jamani!

kumkosa Werner kwangu ni maumivu sana, hatuna mbadala pale mbele, sijui klop anawaza nini muda mwingine
usajili kuelekea msimu wa 2018/19 watu walimlaumu sana Klopp kwa kutotafuta replacement ya Coutinho.

kilichofuata?

tukabeba ndoo 3 na kuikosa EPL kwa pointi 1 tu. na msimu huu (2019/20) haooo tunabeba EPL kiroho safi. na bado!

muache Klopp aitwe Klopp...
 
Mkuu Liverpool msimu huu wanaenda kuchukua ubingwa,wameanza msimu hawajasajiri mchezaji yoyote wakikosi cha kwanza.kuna timu kama Man U.walitumia hela nyingi sana kusajiri lakini kikowapi wapi leo,yupo anagombea nafasi ya nne huko.

Kwa utawala huu wa klopp timu zitaendelea kupata hasara maana wanatumia hela nyingi mwisho wa msimu wanataka mikono mitupu.

Huyo pulisic mkuu me niliogopa mpaka nikaanza kumlaumu klopp anazingua kwa nn ajamsajiri huyo?

mashabiki wa Chelsea waliamini watatisha na walianza kwa mbwewe sana.

Klopp siku zote anaona mbali sana,waache waendelee Kipigwa zama zimebadilika.
Pulisic kafelije? wakati karibia msimu mzima alikuwa majeruhi pamoja na mechi chache alizocheza ana goals 8 assist 4
 
ni rahisi kuelewa kwa nini Klopp amesita kumsajili Timo Werner ambapo angelazimika kumlipa mshahara zaidi ya VVD, Alisson, Mane, Bobby, etc. ingeleta shida.

for example Keita anapata mshahara mnono zaidi ya Mane, etc, etc.....
so Klopp needs to ensure this sort of imbalances are fixed first kabla ya ku recruit a marquee player, otherwise inaweza kuondoa harmony kwenye dressing room.

binafsi sijajutia kabisa kumkosa TW - the kid is good but yet to be tested at the highest end of business and he's likely to initially struggle in the EPL just like Keita, Pulisic, etc have been.

my money is still on the toned Traore.

View attachment 1469390View attachment 1469392
Allison and super Mane need serious wage increase as soon...

YNWA
 
Mkuu inawezekana akasajiri ila kwa ile hela klopp ndio maana ameona asimsajiri ,akachukue strike mwingine kwa bei rahisi amfanye awe world class player.

Kwa fekir niliumia sana ila ndio hivyo sasa walikuwa wanataka hela nyingi timu kwa sasa kama ya Arsenal wenger budget kwa kwenda mbele.

Hahaha au tumfuate Fekir...

Ndogo yupo vizuri sasa tangu amehamia la liga majeruhi pia yamepumzika...

YNWA
 
ni rahisi kuelewa kwa nini Klopp amesita kumsajili Timo Werner ambapo angelazimika kumlipa mshahara zaidi ya VVD, Alisson, Mane, Bobby, etc. ingeleta shida.

for example Keita anapata mshahara mnono zaidi ya Mane, etc, etc.....
so Klopp needs to ensure this sort of imbalances are fixed first kabla ya ku recruit a marquee player, otherwise inaweza kuondoa harmony kwenye dressing room.

binafsi sijajutia kabisa kumkosa TW - the kid is good but yet to be tested at the highest end of business and he's likely to initially struggle in the EPL just like Keita, Pulisic, etc have been.

my money is still on the toned Traore.

View attachment 1469390View attachment 1469392
Dogo alitaka kwenda Liverpool. Mishahara niishu ya kunegitiate hata van dyk City walimuahidi mpunga mzito but akaja liver kwa Mishahara wa chini yake.
So ni Kwamba tu klopp hakuwa Na time nae au matajiri wameona kipindi Hiki cha korona kutoka 60ml ni nyingi Sana.
 
ni rahisi kuelewa kwa nini Klopp amesita kumsajili Timo Werner ambapo angelazimika kumlipa mshahara zaidi ya VVD, Alisson, Mane, Bobby, etc. ingeleta shida.

for example Keita anapata mshahara mnono zaidi ya Mane, etc, etc.....
so Klopp needs to ensure this sort of imbalances are fixed first kabla ya ku recruit a marquee player, otherwise inaweza kuondoa harmony kwenye dressing room.

binafsi sijajutia kabisa kumkosa TW - the kid is good but yet to be tested at the highest end of business and he's likely to initially struggle in the EPL just like Keita, Pulisic, etc have been.

my money is still on the toned Traore.

View attachment 1469390View attachment 1469392
Mane 100k????, Seriously??
 
Back
Top Bottom