mmangO
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,015
- 1,597
Ni kweli best player 2019The Best Player In England!
Itakuwa England ya Buza hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli best player 2019The Best Player In England!
Itakuwa England ya Buza hii
Aisee!
Nani aliyetoa hizo tuzo?
BT sport
Sent from my iPhone using JamiiForums
nakumbuka na siye pamoja na ubovu wetu wakati fulani enzi za Fergie bado tulikuwa tunawafanyizia hivi hivi!Haya majamaa tukikutana nayo sijui tunakuwa tumelogwa? Na ubovu wake lakini ndio timu pekee iliyoambulia sare na Majogoo kwenye raundi ya kwanza....
Imagine! Yaani unawacharaza kina ManShit, ChelSick. LazySista, AssesNo, TotoHumberger na wengine afu huyu mgonjwa Manure anakudindia droo.... huoni kama kuna kauchawi flani hawa Mbolea ya Bata wanakatumia??
Kwa maana hajamuona Lalana alivyo msaidia Hendo kwenye ukabaji mpaka aseme hivyo?I'd rest him for now, No pressure, we survived without him. View attachment 1322951
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha haha haaaaaaaaaaaaaa yes itakua kwa wachezaji wa kingeleza mtoto hata awe chini ikiwa ni wako atabakia ku bora tuThe best player in England...... Hatimae anaanza kupewa heshima zake stahiki....... Congratulations our skeeperView attachment 1323404
Sent using Jamii Forums mobile app
Totenham muangalie vyema mpaka anaingia Lalana angalia vyema nafasi yake hafu tumia akili yako kupembua hafu majibu bakinayo mwenyewewapi King Ngwaba ?
njoo huku kuna watu wanakuvuta sharubu zako huku.... hahaha!!
View attachment 1323513
Hahaha in any case boy has 'won' 3 major trophies during the mentioned calendar year...The Best Player In England!
Itakuwa England ya Buza hii
Hahaha in any case boy has 'won' 3 major trophies during the mentioned calendar year...
That said he deserves afromentioned accolade for club level..
YNWA
Ile ni injini ya timu mkuu......le capitainHahahahaha wewe ni mtu wetu tunakukaribisha sana..
Kijana wako Hendo bila shaka mambo yake unayaona..
Subiri wiki 2 zijazo apone Fabby upitie Echo au Mirror uone namna kikosi kitavyokua kinapangwa...
Acha hizo mambo wewe jamaa....Ooh, ndiyo maana huku unakoment utoto.
Nimeelewa.
100%wapi King Ngwaba ?
njoo huku kuna watu wanakuvuta sharubu zako huku.... hahaha!!
View attachment 1323513