Nilijua tu katika Post yako yoyote lazima utatanguliza Dharau (Huyo Jamaa Hamna Kitu)

Sasa Kama wewe ndiyo bingwa wa kupost vitu vyenye kumake sense kwanini kwenye post zako unajiwekea Defensive mechanism kwa kutanguliza kudhoofisha wengine?

By the way! Turudi kwenye hoja

Madison ni new version ya Lallana tu Hamna kitu pale.

Angelikuwa mchezaji asingelikiepo pale alipo

Pep, Klopp, Emery, Poch, Ole wote wameshindwa kumuona kama kweli mchezaji?
Kila kitu kina muda wake.
 
IMG_6250.JPG
 
Inasemekana ni his Family hawakuitwa na yeyote Bali wameibuka tu from nowhere kuja Ku-intervene negotiations baada ya kuona dili ni kubwa ili na wao wajipatie Mkwanja.
Aisee ina maana sasa kulikua na mwakilishi wa Liverpool, Agent wa Fekir, mwakilishi wa Lyon na Mwakilishi wa Familia....aaaa hapo bora kuchomoka na kuwaacha wajijue wenyewe maana hizo wangetukamua kinyama....
 
6 games in less than 3 weeks?!
likely to shape how our season will pan out pre-festive season.




thisView attachment 1204753
here we go again...to be honest this next games in this Sep are damn tricky...

well the good news is that we dont have any major injury to our main starters and hopefuly they stay fit as we had this hectic period..

i watched Juventus vs Naples and surely i can say we have a mammoth task in that game...

the last 3 games have brought back the form we need to win as much point as possible...

yajayo yanafurahisha
 
MSIKIENI DEJAN...

"I feel relief the transfer window is closed. I got tired of reading and listening every day about me leaving or staying in Liverpool,” Lovren told Croatian newspaper Sportske Novosti.

“Everyone wrote 'Dejan is here, Dejan is there', and knew nothing! It annoyed me.

Yes, I did consider moving, I knew I gave my best for Liverpool, won Champions League and I am not kind of player that likes to be benched and earn money.

Some people around me advised me ‘What do you care, you are in big club, shut up take the money’ But I am not happy on the bench.

"I feel very happy because all the time I felt LFC was by me, I respect that a lot. Klopp told me ‘Listen, buddy, you are [a] top class player, we will not let you go on loan. We need you.’

“I wanted to leave, it didn't happen, I was told Liverpool needs me and I accepted that.

"Last week I spoke to Klopp again, he told me he understands me, knows I am not happy, but he also said "Look, now it is finished, I want you to reset your head, I find you important.

“I am in my prime age, in great shape, mentally ready and you can not buy experience."

Lovren has less than two years remaining on his current Liverpool deal, which could see the Reds change their stance over selling him in the coming months.

He is currently fourth in the pecking order behind Virgil van Dijk, Joel Matip and Joe Gomez.
 
Ninachowapendea liver sio hamuuzi ,ila mnajua kuwatandika bei .
Mkuu yaliyotukuta bei ya Andy Carol ni balaa jamaa walitupata vyema tulikua desperate kumpata strika wa kumridhi Nando the El nino ila duh tukaishia kupata super pancha.....

Klopp kwa kweli katutoa parefu mno...uwanjani na kibiashara pia ametutoa parefu....

bila Klopp tungeweza wapi kuwapata hawa akina Allison, VVD na kadhalika sasa atakaejipedekeza tu kwa hawa mastaa atalipa parefu... naona Mane Madrid hua magezeti ya umbea hayachezi mbali...tulimnunua £25m+ adds on..hapa sitarajii pungufu ya £150 m
 
MSIKIENI DEJAN...

"I feel relief the transfer window is closed. I got tired of reading and listening every day about me leaving or staying in Liverpool,” Lovren told Croatian newspaper Sportske Novosti.

“Everyone wrote 'Dejan is here, Dejan is there', and knew nothing! It annoyed me.

Yes, I did consider moving, I knew I gave my best for Liverpool, won Champions League and I am not kind of player that likes to be benched and earn money.

Some people around me advised me ‘What do you care, you are in big club, shut up take the money’ But I am not happy on the bench.

"I feel very happy because all the time I felt LFC was by me, I respect that a lot. Klopp told me ‘Listen, buddy, you are [a] top class player, we will not let you go on loan. We need you.’

“I wanted to leave, it didn't happen, I was told Liverpool needs me and I accepted that.

"Last week I spoke to Klopp again, he told me he understands me, knows I am not happy, but he also said "Look, now it is finished, I want you to reset your head, I find you important.

“I am in my prime age, in great shape, mentally ready and you can not buy experience."

Lovren has less than two years remaining on his current Liverpool deal, which could see the Reds change their stance over selling him in the coming months.

He is currently fourth in the pecking order behind Virgil van Dijk, Joel Matip and Joe Gomez.
Klopp ndio amemtaka abaki
 
NIKE MOST LIKELY TO BE OUR NEW KIT SPONSOR
Liverpool FC is about to sign the biggest Premier League kit deal in history with Nike.
Forbes report the deal would be worth more than Manchester United's $91 million per year agreement with Adidas.

The deal would also be the third highest in world soccer, behind only Barcelona and Real Madrid, who bank $122 million and $134 million each year from Nike and Adidas respectively.

The European champion is currently sponsored by New Balance, however the $55 million per year contract is set to expire at the end of the season.
 
kwa kweli ni choice ya nne kwa sasa ana pocket £90,000 kwa wiki sasa hapo tu ndio mpaka kumwelewa Klopp inabidi mpaka msimu uishe tuone mchango wake kikosini tutaujua kama ilikua sahihi abaki
Ni kwamba mechi hazijaanza kuchanganya kumbuka mwezi wa 12 karibia mashindano yote tumo mpaka klabu bingwa ya dunia ..lazima wawepo wazoefu Kama wale wakushikia pindi majeruhi ya kikosi Cha Kwanza yakiwakumba....Ila plan ya yule dogo beki mholanzi na ki_jana hoever na madogo wengine walio ndani na nje(mkopo) pia walichukuliwa rangers ni kwaajili ya Steven Gerrard ..jk atakapopumzika 2022 ...bado tutakuwa imara.
 
Ni kwamba mechi hazijaanza kuchanganya kumbuka mwezi wa 12 karibia mashindano yote tumo mpaka klabu bingwa ya dunia ..lazima wawepo wazoefu Kama wale wakushikia pindi majeruhi ya kikosi Cha Kwanza yakiwakumba....Ila plan ya yule dogo beki mholanzi na ki_jana hoever na madogo wengine walio ndani na nje(mkopo) pia walichukuliwa rangers ni kwaajili ya Steven Gerrard ..jk atakapopumzika 2022 ...bado tutakuwa imara.
ni sahihi kabisa kuanzia Septeba hii mechi zinakua nyingi mno na ni kweli pia back up inahitajika kila namba ili ikitokea majeruhi and i FORBID basi kuwe na wachezaji wenye uzoefu ku supplement mahitaji yetu hilo ni muhimu....hata msimu uliopita Lovren alichangia sisi kuchukua UCL pindi alivyohitajika....japo hao akina Ki Jana wangekua pia back up sawa kwangu kuliko huyu jamaa yaaani simwamini kamwe...ame stuck kabisa pindi achezapo EPL hua kiroho kinadunda maana muda wowote ni janga aisee...

Lovren kua chaguo la nne la kocha kwangu naona ni sawa kwa Klopp maana anachokiona kwake anajua mwenyewe... Klopp ana roho ngumu sana kumwamini jamaa hachelewagi kuchomoa betri huyu..tena aedelee kushuka hata awe chaguo la sita

Hili la wale makinda kumsubiri G8 akabidhiwe kikosi pindi Norbert akiachia ngazi kwangu nasema bado sana...tunahitaji kwanza afanikiwe pale alipo na sio apate free tiketi kwa vile ni Club Legend...wenye timu yao UK kwa hili naona lisipofanikiwa naona watasema Fentway OUT...mpaka sasa tunatakiwa tujifunze yaliyojiri Manu baada ya Fergie kung'oka...hili we should trend carefuly

Klopp katutoa parefu mno but with one emotional mistake we are JUST DONE and back to the Lambert, Baloteli nk era....kuedeleza atakapotuacha kwangu naona should be the main plan and if Gerrard will come better in the next 3yrs then th job is his to lose
 
Back
Top Bottom