Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,410
- 7,303
Mkuu Forward hapo hamna rotation maana mtu anaepumzishwa dk ya 70 hiyo sio rotationPoint kubwa ni #LFC ana kikos finyu chenye wachezaj wachache wanaojua sana na hao ndio mala nying wapo first eleven mbadala wa hao wachezaj hawako vzur sana...
Lkn man city ana toka mtu anaingia mtu,
So kinachotukwamixha ni mKuchoka kwa wachezaj kwasababu league ina game nyng inatakiwa wachezaj wawe fit mala nying...
Sasa man cty anawachezaj wengi wazur na bado tuna compite kiasi hiki means tukiwa fit bas tunachukua.
Ukitaka kujua liverpool yuko vzur kipimo ni uefa (finalist back to back)
Wakat huo man cty hola.
Mchoko wa liver ndio unatuangusha epl ndio maana klopp saiv anafanya mzunguko wa wachezaj.
Gomez saiv anatokea bench, mane ana pumzxhwa dakk za 70, na kukumbuxha keita karud mazoezin.
#nikosoe nijifunze zaid