Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,070
Good start
Kikubwa three points
Kikubwa three points
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta uchambuzi kwa wanaoijua vizuri Nor, ktk EPL ndio timu yenye uzembe wa kijinga jinga na jana kwenye goli la kwanza tu ilijionyesha hiyo.Norwich vibonde kwakuwa wamefungwa na Liverpool?
Natumai nanyinyi mutacheza nao lakini uniquote kama kunikumbusha siku mutakayochezanao ili niifatilie game
Sema aache katabia kauchoyo akiwa karibu na goli amuige Bobby
Tafuta uchambuzi kwa wanaoijua vizuri Nor, ktk EPL ndio timu yenye uzembe wa kijinga jinga na jana kwenye goli la kwanza tu ilijionyesha hiyo.
BT Sport kwa kutumia script yao advanced ya kupredict matokeo na position ya timu za EPL mwishoni mwa msimu wamekuja na prediction hii kwa ligi nzima na wameiweka Norwich Cioty mojawapo ya timu zitakazokumbwa na relegation
Kwani hii discussion ilihusu Chelsea na Hazard au umepata pa kutapikia?Kumbe ni utabiri tu?
Halafu utabiri wote naona umebase na position za last season kwa asilimia 90% kama sio 95%.
Nakuhakikishia Man United anaingia Top Four, Na nakihakikishia Chelsea haingii Top Four.
Mpaka hapo Hao BT Sport utabiri wao wameingia chaka.
Nimeyaandika haya kwa kuzingatia (Only Top 6):
1) Uwezo wa wachezaji binafsi kwenye timu.
2) uatayari wa wachezaji kujitoa kwa timu.
3) Uwezo wa kocha
Chelsea munajifanya kutoona athari ya kuondoka Hazard lakini time will tell.
Tuliona wazi Hazard alipowapa matokeo katika Mazingira magumu kwa jitihada zake binafsi either kwa kufunga au kutengeneza nafasi/Kuassist.
Lakini msimu huu ndiyo awavuushe aabraham? Jiroud? Au Barkley?
Mkuu hamuna timu acheni kujidanganya.
Huyo Luiz muliyemdharau pengo lake mutalililia na Zouma wenu.
Kutaka kufunga kila mpira unapokuwa mguuni ndiyo sifa ya Foward
Alson atakaa nje week tu
Ni tatizo la CALF tu sio big deal
Tuzidi muombea
Angefunga c ngao ya hisani tungempa sifaNi sifa poa kama kila mpira unafunga ila sifa ya kijinga kama anakosa mahala anapoweza kuacha mpira mwingine afunge ama ku-assist
Labda kama analipwa bonus kubwa kwenye magoli, I'll appreciate that
Kwahiyo jana walikutana vibonde maana Norwich anaburuza mkia na liverpool ndio wanafuata nyuma.....
Ni sifa poa kama kila mpira unafunga ila sifa ya kijinga kama anakosa mahala anapoweza kuacha mpira mwingine afunge ama ku-assist
Labda kama analipwa bonus kubwa kwenye magoli, I'll appreciate that
Mmekuwa madaktari sasa
Initial fears for Alisson Becker is that he will be out for 4-6 weeks. Indications that he has torn his calf. If lay-off is to longer end of the scale, he could miss first Champions League group game in September
Ni sifa poa kama kila mpira unafunga ila sifa ya kijinga kama anakosa mahala anapoweza kuacha mpira mwingine afunge ama ku-assist
Labda kama analipwa bonus kubwa kwenye magoli, I'll appreciate that