Kwa sasa kina Wolvehamton ya Nuno Esperinto Santo na Leicester ya Brendan Rodger zipo vizuri. Hii season kutakuwa na mpambano mkali sana.

Only City n Reds ndio wana uhakika wa Top four mbali na kuwa contenders wa ubingwa. Spurs kidogo ni wazuri na bora kuliko hao wengine. Si chelsea ya Lampard wala United ya Solksejer ambao ni makocha wageni na wanaokosa uzoefu kwenye ligi ngumu na ndefu kama epl.

Natabiri Leicester na wolve kuleta changamoto ntingine kwenye top 4.
Tatizo wewe unaongeaga tu bila kujua unachoandika Lampard anaeza fanya makubwa kuliko unavyotarajia mkuu.
 
Sasa nimeanza kuelewa sababu ya Klopp kutoharakia usajili, vijana wamacheza mpira mzuri sana.Kuna Ki Jana Hoever, Louruci,Brewster, Nathaniel Philips wameonyesha viwango bora sana.
Izo gemu zisikupe kichwa mkuu, ivo kushinda shinda ata arsenal anashindaga sana.
 
Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool na stoke city petre Croach ametangaza kustaafu kucheza mpira baada ya 21. Croach amecheza zaidi ya mechi 600.
Screenshot_20190712-172000_All%20Football.jpeg
 
Sasa mkuu unadhani Giroud ni Origi wangapi? Acha kufananisha bingwa wa kombe la dunia na uyo msaliti aliyekana taifa lake..
hivi ndio alicheza kombe la dunia kwao na hakufunga hata goli vile...au niambie mchango wake ulikua upi kulichukua hilo kombe...

Origi aliwamaliza Barcelona ambao uliwasapoti akaja pia akawazima Spurs ambao pia uliwasapoti..
 
LETS PLAY THIS:

1. Your best player at the club?

MANE SADIO

2. Your favorite player at the club?

BOBY FIRMINO

3. most underrated player at the club?

ORIGI

4. The player you hate the most at the club?

JORDAN HENDERSON

5. Shit and average player at the club?

DEJAN LOVREN

6. Most overrated player at the club?

MOHAMED SALAH

7. A player you'd welcome as a friend?

GINI WIJNALDUM

8. A player you'd go extra miles to get his signed
Jersey?

VVD
 
Back
Top Bottom