Tatizo ni pale unapojipa matumaini hewa ya kushinda away katika big mechi.wakati msimu huu Liverpool katika mechi za top six sijajua kama mumeshinda mechi za away. Maana kwa kumbukumbu zangu ni
Man CTY away (lose)
Chelsea away (draw)
Arsenal away (draw)

Sasa sijajua hayo matumaini unayapata wapi

Hapa chini ni trend ya matokeo yenu mukiwa OT katika miaka ya karibuni. Na siyo kipindi cha Ferguson!View attachment 1020630

Sent using Jamii Forums mobile app
bila shaka rekodi yangu OT miaka ya hivi karibuni si poa kivile, hata hivyo ni uhakika kabisa kupata ushindi hapo Theatre of Nightmare ...

Pambana na PSG leo na Jtatu mpige Chelsi aafu ndio unawaze mie...

Kwa umuhimu wa pointi 3 sitegemei matokea zaidi ya kuodoka na ushindi..

All the best kwa PSG.
 
Sio kwa man u, kwan wewe kunifunga FA ndio unaona umemaliza, maana siku zote huna mpira wowote zaid unategemea miujiza,

Kiuhalisia huna timu ya kumfunga liver, shukuru tu una upepo na unapata matokeo, lkn timu yako bado ,na kama huamin soon utaniambia ,

Usitambe kisa upepo ,epl ndio ipo hivo, labda uwe kwenye mbio za ubingwa

Wewe man u huwez kupata hata sare kwa liver, liver ana uhitaji na umuhimu wa hiyo mech kuliko wewe,

Ukimfunga liver au kupata sare najipiga ban ya mwez mzima,

Kwa asiyeangalia mpira akisikia mnavyoshinda anaweza kudhan sasa mna timu ya ushind, kumbe upepo tu, next week una upepo unageuka

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya pweza! But mark your words! Ila ukifungwa usijipige ban Bali nikumbushe na u-confess mbele ya umma wa jamiiforum kuwa umekubali kufungwa na ilikuwa wrong hicho ndicho nitakachohitaji kutoka kwako mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha jifiche tu kwenye takwimu enzi za wakina Karius. Sahivi tunawatandika nyie kipigo heavy, it's serious hakuna mtu atakayekubal kupoteza ubingwa hapo OT.
Mkuu kwani mwaka huu hamjafungwa! Akiyanani kweli wabongo ni wagumu wa kuelewa .nimekuletea mpaka takwimu bado hataki nahisi hata darasani ulikuwa mzito sana haya ni mashaka yangu.maana nakula points nyingine wewe badala ya kujibu point kwa fact unaniletea taarabu na kahamisha hoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha jifiche tu kwenye takwimu enzi za wakina Karius. Sahivi tunawatandika nyie kipigo heavy, it's serious hakuna mtu atakayekubal kupoteza ubingwa hapo OT.
Maana hata kwenye form bado Liverpool kwa kipindi cha miaka hiyo alikuwa akimaliza juu ya man utd katika EPL .lakini bado kashida mechi moja katka hizo nilizoweka .nakukumbusha kuwa mm siyo mtabiri wq matukio ya mbeleni maana sina kipawa hicho.nataka facts ya matukio yaliyo tokea tayari! Ndio maana hata kwenye betting watu wanaliwa kwakuwa ni wqbahatishaji siyo manabii.ila kama wewe nqbii basi it's OK!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utd played against a good team and got turned like peak Huddersfield..

And we were out here worrying about them man

Its a Wrap at OT..



Easy 3 points and we move
wouldnt expect anything less than cool 3 points...

Citi wil also visit thea t better we take our 3 points wt this game in hand n plan for March while still ahead wt 3points gap...
 
Somebody better tell Pogba that, having a masterclass against PSG at home, isn’t for everyone

IMG_1550009666.964176.jpg
 
Mm kitambo nilishawaona , mtawafumua, hawana bek halafu wanapanda tu,

Leo angekuwepo neymar wangepata kadi timu nzima

Sent using Jamii Forums mobile app

yaani ndio najiuliza walidhani Ole ndio refa maana sio kwa mpira ule...

hii inaitwa "REALITY CHECK" ...walidhani baada ya kushinda tangu aje Ole basi hawafungiki tena bila kujua walikua hawajakutana na visiki...

sasa leo ndio wameanza siku si nyingi na huyu Ole watamkataa vile vile...
 
Back
Top Bottom