Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,463
- 70,194
Rudi kasome vizuri mpaka mwisho utamjuaTuhitimishe hii dayolojia kwa mimi kukuuliza "Ni nani anastahili credit kwa hilo andiko?"
Rudi kasome vizuri mpaka mwisho utamjuaTuhitimishe hii dayolojia kwa mimi kukuuliza "Ni nani anastahili credit kwa hilo andiko?"
.We are to going win UCL
He is going to win EPL
Which one is more prestige medal?
HHahaha liverpool bana kama arsenal alivyompiga 5 psgLeo man u akipigwa ntafurah sana maana mourinho ashaanza kumnanga klopp kwny Ku spend hela nyng usajili huu
Furahi gem imekwisha 4-1 ha haaaLeo man u akipigwa ntafurah sana maana mourinho ashaanza kumnanga klopp kwny Ku spend hela nyng usajili huu
Mweee hahahah liverpoolWe have send a good msg to premier league
He is joking aisee..Mweee hahahah liverpool
Shaqir atatufaa sana kwa nilivyo muona team ipo vizuriWe have send a good msg to premier league
Kanichekesha sana mkuuHe is joking aisee..
True kabisa bredren!!
But i really don't see us signing any new player again.... Ila naomba deal la Fekir lifanikiwe tu.. the guy is creative!
Tayar huko mmoja kasema washatuma salam epl kasahau kama mwaka jana klopp hii ndo aliibeba china na barcelona walimfunga 4-1 ktk hizi mechi za kupasha misuli
Basi utaanza kusikia 'huu ni mwaka wetu'
Tayar huko mmoja kasema washatuma salam epl kasahau kama mwaka jana klopp hii ndo aliibeba china na barcelona walimfunga 4-1 ktk hizi mechi za kupasha misuli
Shaqir atasimama nafasi yake kapangwa kati leo na kacheza vyema sanaHuyu Fekir ni mgonjwa,period!
Kama angekuwa mzima sasa hivi angekuwa mchezaji halali wa LFC!
Hivi nini maana ya kufanya medical b4 finalizing the transfer? Kama matokeo ya medical hamtaki kukubaliana nayo?
I wanted to see Fekir at LFC badly,but kama ana goti bovu muacheni abaki hukohuko tu
Heavy metal football haitomfaa kabisa