Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Liverpool remain the comedy club of the premier league.mid table fodder in a false position
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee....
Haaaaaa. Aya bhana. Naona umetulizwa na timu inayoshuka daraja.Mimi Huwa Sina Kawaida Ya KuwaQuote Kama Nyinyi Msiojua Hata Rekodi Za Timu Yenu Kwenye Kushinda Na Kufungwa....
Sasahivi ni Mwaka 2017, Labda Kwa Kuanzia Ungetafuta Mara Ya Mwisho Kwa Chelsea Kufunga Liverpool ilikuwa Mwaka Gani? 2016? 2015? 2014? 2013? and.......
Hongereni kwa kunyakua point 1 ni muhimu sana kwenu liverfoolDefoe Kamaliza Utata Kwa Wale Walio na False Dreams Za Ubingwa...
Hongera kwa kugundua hiloKilichobakia Tufocus Zaidi Katika Timu Yetu Na Tusiwe Na Hesabu Zile Za Kudowea eti adondoke Nani ili sisi Tupande juu.....
Jamaa anahujuaji flani watu wanabishana juu ya tactics na formation but jamaa anakomaa na vitu vingineMsamehe ila thread inanoga kukiwa na upinzani mkuu
14 games unbeatenTatizo lenu moja tu. Mkifunga mara moja tu shida. Ebu weka recodi hapa tuone
Kwenye ukweli tunasema ukweli leo kama Liverpoolfc ingeshinda Chelsea wangekuwa na wakati mgumu ila kwa sasa Chelsea ana asilimia kubwa ya ubingwa ila pia kufukuzia ni bora kuliko kufukuziwa, EPL timu 5 chini Ya Chelsea chochote kinaweza kutokea ndio uzuri wa EPL, uzuri wa Liverpoolfc tuna Klopp ambaye anatupa moyo timu bila kujali nani kaumia nani hayupo hapendi sababu za kijinga LiverpoolFC YNWA!
Two penalties???? That is TaylorReferee: Anthony Taylor
Jürgen Klopp: Four points within 48 hours is still not that bad as haters seem to overlook