tehteh nilikuwa natizama game ila dk mpaka ilipofikia 2-1 ndipo nikajificha huwezi amini niliona bet LFC to win 2-1 return 80 ila huwa LFC sijaribu ndio narudisha ch naona Klopp anatafuta kuumiza wachezaji vifua. Next Plz LFC YNWA! basi Hull yasiwe ya burnley.Subs alizofanya Conte wala sijazielewa. Ngoja tusubiri tuone
ulikuwa unasibiri Rival wa Arsenal atufunge? au Draw sie wanyela kama hao tunawakandamiza tu Tumevunja kidaraja cha temeke tehteh! LFC YNWA!Conte sasa ameanza kuijua EPL ilivyo, bado Pep zamu yake inakuja. Congratulation Loserpool.
NB- Page Pazi jitokeze mkuu mmeshashinda.
tehteh nilikuwa natizama game ila dk mpaka ilipofikia 2-1 ndipo nikajificha huwezi amini niliona bet LFC to win 2-1 return 80 ila huwa LFC sijaribu ndio narudisha ch naona Klopp anatafuta kuumiza wachezaji vifua. Next Plz LFC YNWA! basi Hull yasiwe ya burnley.
Siumeona London hapo tayari Arsenal na Chelsea...Tottenham droo!Nimeisave hii comment yako kwa ajili ya matumizi ya baadae
Huyo ndiyo tutampakata vizuri sana...Daraja la Kawe limeshavunjwa
Bring on Josephina Maurinho
Daraja la Kawe limeshavunjwa
Bring on Josephina Maurinho
Jogoo shingo ngumu hajachinjika kavunja kidaraja na shetani naye akija Ashindwe na aregee LFC YNWA!Wakati nilipotaka kuanza kujiaminisha kuwa leo wanaweza kushinda...wakanikumbusha kuwa wao ni majogoo wasiowika... hukawii kuona wanakuja kufungwa hii mechi
Kabisa!Ila kumtoa Sturridge haikuwa sahihi manake the game slowed down a bit