verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,782
- 5,642
We spent 94 million £ on Nunez instead of building schools, hospitals, foodbanks etc
Broo stress za Liverpool hazijakutosha unataka ujibebeshe na stress za hawa mafalse hopes?Baada ya sisi kuondolewa kwenye mbio za ubingwa kuanzia sasa nasimama na Arsenal.
Sababu zangu ni
1. Kwa msimu wa pili sasa wamepambana sana kuupata ubingwa. Wanafail kizembe.
2. Kusimamisha ubabe wa city kuendelea kuitawala epl.
3.
Una uhakika hawa Chuchunge wakichukua kombe mtasalimika humu?Hili kombe achukue arsenal tu
Akichukua mwasiti itakuwa ni upuuzi wa kiwango cha ajabu
Una uhakika hawa Chuchunge wakichukua kombe mtasalimika humu?
Mimi kila nikiwaza ufidhuli wao naona bora tu Epl ionekane ni Farmers league kwa City kujibebea kombe kila msimu.
Hio shida tuliyopata walivyobeba ngao tu ya hisani, sijui itakuaje hawa Chuchunge wakibahatisha kubeba Epl.
Hebu angalia hapa chini huu ufidhuli wanaowafanyia, na hapa bado hawajebeba kombe halafu fikiria wakibeba kombe hali itakuwajeView attachment 2973462
"Kwa sasa Klopp anaonekana ndezi tu, wanaona bora hata Baba Ubaya"sijui yule mrembo wa liva anajisikiaje kwasasa
kuna timu zinajua kuharibu mood za watu
kwasasa klop anaonekana ndezi tu,wanaona bora ya baba ubaya
Hawa sio wa kuwaombea wapate hata bilauri achana na hilo kombe la Epl.
Hapa tu wanatusumbua utadhani wameshabeba ligi
😂😂😂😂😂😂Hawa sio wa kuwaombea wapate hata bilauri achana na hilo kombe la Epl.
Kama unawahurumia sana ni bora uwaombee wapate hata mimba ili msimu huu wasitoke mikono mitupu
Klopp bado ni kocha mzurisijui yule mrembo wa liva anajisikiaje kwasasa
kuna timu zinajua kuharibu mood za watu
kwasasa klop anaonekana ndezi tu,wanaona bora ya baba ubaya
Arsenal huo ubavu anautoa wapi?Hili kombe achukue arsenal tu
Akichukua mwasiti itakuwa ni upuuzi wa kiwango cha ajabu
AnachukuaArsenal huo ubavu anautoa wapi?
Kombe la Man City hilo binti wala usihangaike kum-betia Arsenal! Mechi za mwisho Man City huwa halina utani!Anachukua
Arsenal utani ashaumaliza msimu janaKombe la Man City hilo binti wala usihangaike kum-betia Arsenal! Mechi za mwisho Man City huwa halina utani!
Mpira mzuri Arsenyo hawajaanza kucheza leo labda kama umeanza kuwafatilia jana na leo, hawa mpira mzuri walikua wanacheza tokea kipindi cha mzee Wenger.
City akichukua ligi itapoteza mvuto
Acha tu wachukue hata kama watatusumbua.
Halafu wasipochukua nitawaonea huruma sana,mpira mzuri wacheze wao halafu watoke mikono mikavu
Heri sisi tuna koroboi mkononi.
Mpira mzuri Arsenyo hawajaanza kucheza leo labda kama umeanza kuwafatilia jana na leo, hawa mpira mzuri walikua wanacheza tokea kipindi cha mzee Wenger.
Asenyo ni sawa na mwanamke mzuri (Pisikali) lakini hana bahati ya kuolewa.
Watu tunaishia kujiuliza tu, huyu demu mbona mkali sana lakini haolewi
mKombe la Man City hilo binti wala usihangaike kum-betia Arsenal! Mechi za mwisho Man City huwa halina utani!