Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Clyne Kaamua Kuwa Mrembo Wa Kutengeneza Nywele Badala Ya Mpira.
Rais wa chama cha soka cha Misri amesema angependa kuona Mohamed Salah akijiunga na Real Madrid. (The Sun)
Ameamua kuwa Wakala sasa. Kazi ya kuongoza chama cha soka anahisi imemshinda
Akienda anakwenda kuuwa nafasi yake kisokaRais wa chama cha soka cha Misri amesema angependa kuona Mohamed Salah akijiunga na Real Madrid. (The Sun)
Hawezi kwenda bado tunamuhitaji sana...Akienda anakwenda kuuwa nafasi yake kisoka
Ha ha haa!Ameamua kuwa Wakala sasa. Kazi ya kuongoza chama cha soka anahisi imemshinda
GoliniJamani kikosi kikoje leo?