Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,103
Worst Picture I've see in all Fcuking week!!!
Game yetu na Arsenal ilionyesha kuwa HENDO tunamuonea tu!
Hadi anaumia ilikua 0-0
Akiwa hayupo uwnajani tukawa up 2-0
Ndani ya dakika 7 tukawa nyuma 3-2
Mbona hatukuzuia mabao ya kizembe wkt Hendo hayupo?
Tunafungwa sababu ya mfumo sio mtu mmoja ndiyo ninavyo amini
Tayari kashasign na bayern. Ataingia pale next summer.Liverpool wana hofu kupoteza kwa Bayern Munich mbia za kumsaini kiungo wa kati wa Schalke Leon Goretzka, 22. (Liverpool Echo)
Naamini hivyo hivyo. Nilikuwa na kiu ya kumuona huyu mtu. Labda sasa JK aongeze kasi ya kumtafuta Michel Seri "next Iniesta". Anaweza kuwa msaada ingawa nahisi anafanana na Keita kiuchezaji.To be short and Clear! Baada Ya Kumpoteza Goretzka kwa Bayern, Kwa Sasa Liverpool haina Target Yoyote inayofuatilia.
Tusubiri Summer tu tena.
View attachment 680298
Napita nipo spidi....,sitaki geuka nyuma..
Yani Ustadh Salah Mpaka Sasa Bali tete!
Hata Kwenye Official Account Yao Wameeka Alana ya (?)...
Anaumwa au nini tatizo?