Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Klopp usitafute Mchawi!
Haina Haja Ya Kugombana na Waandishi wa Habari Umeyataka Mwenyeo Hayo...
Unamueka Nje COUTINHO, FIRMINO, CAN na GINI Kwenye Derby unategemea nini!?
Ziko Mechi za kupumzisha Wachezaji bhana lakini sio Derby....
Huwajui Waingereza!sifa ya kuwa captain n ip?only to play mpira vzur au labda nieleweshe kwa hlo
Huyu Robertson ni mchezaji mzuri sanaIngelikuwa Nikiomba tu Mungu Ananikubalia Basi Ningemuomba Moreno Asipone Tena....
Sio Siri Robertson ananikumbusha Style ya Fabio Aurelio... Dogo noma huyu..
Please Klopp! Huu Ni wakati Wa Kumsahau Moreno.