Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,449
- 27,099
Let's pray for victory
Mkuu hebu niangalizieni link nzuri ya kucheki mechi maana nipo mbali kidogo..............YNWA.Let's pray for victory
Ebu pambana hapo.....cheki unavyofungwaSisi sio Arsenal! Hatushiriki Ligi Kwa Kumfanyia Mtu Favor....
By The Way! Hivi Bado Nyie Shelshit Munatamaa ya Ubingwa?
Kwahiyo afungwe Spurs ili uwe Bingwa ama?
kaka hivi hatuwezi kucheza 4-1-4-1...maana kwa spidi ya hawa Tote kama mvua...kwa kweli hii 4-3-3 naona timu pinzani zimeshatujulia4-4-3 kama Kawaida!
Kwa Bahati Mbaya Leo Tutamkosa Gini Coz Ameumia Goti (Knee Injury) Mazoezini Hapo Jana.
Mkuuu pambana aiseee....utafungwaje kirahisi ivoKlopp is Genius.......
Watu wengine Vichaa Kweli...
Mtu anatuulisha eti wanamwita Genius..
hawa Tote hawajawai kumfunga Klopp leo naona wameamua kulipisha maana tangu 2012 sidhani kama wamewai kuifunga LiverpoolKlopp is Genius.......
Watu wengine Vichaa Kweli...
Mtu anatuulisha eti wanamwita Genius..
Kuna mvua ya Magoli huku.....jogoo ananyolewa na maji ya baridiMnakamiaga sana mechi kuku kishingo nyie.. sasa leo kiko wap, mnafungwa hadi na Jackie chan