koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,790
- 10,374
can anaweza namuaminiaTunaweza kuwapa Can + £46mil= Abumeyang
can anaweza namuaminiaTunaweza kuwapa Can + £46mil= Abumeyang
Dah yani Can aondoke tena?Tena kwa ujio wa striker?Tunaweza kuwapa Can + £46mil= Abumeyang
Hakuna mchezaji hauzwi ni pesa tu wanatutega haoNmeona RB Lezpig hawataki tuuzia Naby Keita. Wanadai Keita hauzwi ng'o. Ssa cjui Klopp atamuangalia DM gn mwngine wa kutufaa....
Ings nae anaodoka kumbe? Huyu nae majeraha hana tofauti sana Sturridge!Wanategemewa kuondoka
1.Sakho....30m
2.markovic....15-20m
3.sturridge......25m
4.lucas............3-5m
5.ings...............10-15m
6.moreno..........12m
Total tuna uhakika wa £100m za mauzo why tusipate majembe kama wanne hivi.
Wanategemewa kuondoka
1.Sakho....30m
2.markovic....15-20m
3.sturridge......25m
4.lucas............3-5m
5.ings...............10-15m
6.moreno..........12m
Total tuna uhakika wa £100m za mauzo why tusipate majembe kama wanne hivi.
Yeye ndo aliyemsajili Dutmond, sasa anamkanaje ?Aubameyang hawezi kucheza chini ya klopp mkuu, hizi ni tetesi tu kuna zaidi ya asilimia 90 PEA atabaki dortmund msimu ujao
Nadhani nimemjibu Malafyale hapo juu, ila ni mawazo yangu tu.Yeye ndo aliyemsajili Dutmond, sasa anamkanaje ?
yes ! alikuwA NA GAME TIME AT PALACE na alipaform vzr tu so bei yake iko juuSakho kwa 30?
Anatafutwa na timu gani kwa sasa?yes ! alikuwA NA GAME TIME AT PALACE na alipaform vzr tu so bei yake iko juu
Tayari ana watoto wawili. Huyo atakua wa tatu.Anakaribia kuitwa baba View attachment 528113
Hiyoni Fifa ngapi? Naona na wewe umeingia sokoni ukamchukua kijana ili muende sawa.