Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,001
- 908
Liverpool TUNACHUKUA ubingwa wa EPL
Mnaweza niona kama chizi leo lkn April mtakumbuka nisemayo
January 31 Chelsea namchapa easy kabisa
Chelsea kama mmemuona teams zimeisha jua plays zao
Hawezi toka kwa Liverpool,Everton,Man City,Man u na Arsenal
Kaondoka misimu mitatu iliyopita, Makocha wote wawil walio fuata yaan Moyes na LVG wameshiriki Uefa kwa maana ya UCL manake europa nayo n n Uefa vile vile, na hata sasa hv timu iko uefa, SAF kaondoka, timu imebeba vikombe ambavyo Liverpool +Arsenal combined ndani ya huo muda hawana, Iko final EFL, iko 16 bora Europa, iko round ya 3 FA, inapishana point 5 na alie nafasi ya pili, ndio timu pekee Uingereza iliyoko kwenye mashindano 4 tofautMmekuwa team y historia tu nowdays
Toka aondoke Fegie hata CL hamtacheza for decades
Take my words!
Labda ubingwa shidi ya Liverpool vs EvertonLiverpool TUNACHUKUA ubingwa wa EPL
Mnaweza niona kama chizi leo lkn April mtakumbuka nisemayo
January 31 Chelsea namchapa easy kabisa
Chelsea kama mmemuona teams zimeisha jua plays zao
Hawezi toka kwa Liverpool,Everton,Man City,Man u na Arsenal
January 31Labda ubingwa shidi ya Liverpool vs Everton
Yaah klopp na vikombe vyake sijui 5 uku mou ana zaidi ya vikombe 20Kaondoka misimu mitatu iliyopita, Makocha wote wawil walio fuata yaan Moyes na LVG wameshiriki Uefa kwa maana ya UCL manake europa nayo n n Uefa vile vile, na hata sasa hv timu iko uefa, SAF kaondoka, timu imebeba vikombe ambavyo Liverpool +Arsenal combined ndani ya huo muda hawana, Iko final EFL, iko 16 bora Europa, iko round ya 3 FA, inapishana point 5 na alie nafasi ya pili, ndio timu pekee Uingereza iliyoko kwenye mashindano 4 tofaut
On top of that, iko chini ya manager bora wa kizaz hiki, Usisahau tu Klopp kaanza na Mourinho kazi ya ukocha mwaka 2000, ila mafanikio yao sasa, mbingu na ardhi
Kwenda zakoLiverpool bila Mane na Coutinho ni sifuri..na bado january haijaisha. Muombe Mane watolewe haraka huko AFCON arudi kuwaokoa maana mpaka kiwango/confidence ya Coutinho irudi si leo
Sasa tulibeba vipi uefa CL 2005?You have been playing below your standard for 26 years now
Wewe kumbe uwa unalala hapa tu? Wenzako huwa tunapita kote Chelsea, Arsenal tukijisikia so we endelea kuwa kiranja humu kuzuia mashabiki wa clubs zingine wasipost.
B!tch pleaseWewe kumbe uwa unalala hapa tu? Wenzako huwa tunapita kote Chelsea, Arsenal tukijisikia so we endelea kuwa kiranja humu kuzuia mashabiki wa clubs zingine wasipost.
Embu nawa uso na utikise kichwa kidogo uuweke ubongo wako sawa kabla hujajibiwaKaondoka misimu mitatu iliyopita, Makocha wote wawil walio fuata yaan Moyes na LVG wameshiriki Uefa kwa maana ya UCL manake europa nayo n n Uefa vile vile, na hata sasa hv timu iko uefa, SAF kaondoka, timu imebeba vikombe ambavyo Liverpool +Arsenal combined ndani ya huo muda hawana, Iko final EFL, iko 16 bora Europa, iko round ya 3 FA, inapishana point 5 na alie nafasi ya pili, ndio timu pekee Uingereza iliyoko kwenye mashindano 4 tofaut
On top of that, iko chini ya manager bora wa kizaz hiki, Usisahau tu Klopp kaanza na Mourinho kazi ya ukocha mwaka 2000, ila mafanikio yao sasa, mbingu na ardhi
Mchezo huu hauhitaji hasira. Tulia tu braza. Wewe unavyojaza shombo zake kwenye thread ya United, unaona raha: mkuki kwa nguruwe eh!!Yaani Ulimbukeni Mwengine Unaishia Kumfanya Ajistukie Baada Ya Kuona Wenye Nyumba HawamQuote na Wanaishia Kumpuza.....
Yani Mtu From No Where anakuja Kuvamia Jukwaa la Watu Na Kujifanya Kama Analifahamu Kitambo hivi...
BTW: Walikuja Wengi Hapa Kama Hawa na Baada Ya Kuwapuuza Mwisho Wakajistukia Wakakimbia!! Wacha na Wewe Tukupuuze.....
cc Leloo June
Hakuna mtu wa kuweza kujibu hapaEmbu nawa uso na utikise kichwa kidogo uuweke ubongo wako sawa kabla hujajibiwa
Malizanen wenyewe, mna Arsenal na Spurs hapo hapoJanuary 31
Liverpool 3 Chelsea 0