Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Dimba la Taifa jijini Dar es salaam liko shwari kabisa kuelekea mtanange wa ligi kuu Tanzania Bara VPL.
Simba SC vinara wa ligi hiyo wakiwakaribisha Ndanda FC kutoka mkoani Mtwara.
0'1 mpira umekwisha anza uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Naona timu zote zikianza kwa kusoma mchezo wa mpinzani wake
07' Mpira sasa ni mashambulizi kwa pande zote.. Huku Simba SC wakijaribu kupata bao la mapema
10 ' Ndanda wanapanga shambulizi. Lakini mchezaji anachezewa madhambi. Inapigwa faulo lakini wanakaa vema mabeki wa Simba SC
Katikati ya uwanja Simba SC wanakwenda kwa kasi. Kwake Kotei anapasia Mkude.
14' Ni faulo kuelekea lango la Simba SC
15' Ndanda FC wanacheza eneo lao la kujidai..wanacheza kwa kujiamini sana.
Anachukua Kichuyaaa kwake Gyan.. Kwake huku Kotei.. Lakini Asante Kwasi anatoa mpira nje
Ndanda FC wanakwenda lakini inakuwa kona ambayo haikuzaa matunda
Bocco anakwenda na Mpiraaaa lakini inakuwa faulo kuelekea Ndanda. Eneo hatari sana
Wakati huo huo mchezaji wa Ndanda anapewa kadi ya njano. Inapigwa faulo kuelekea lango la Ndanda FC
20' Kichuyaaa anapiga lakini golikipa anapangua na kuwa kona ambayo golikipa anapangua na mabeki wanaokoa
24 ' uwanja wa Taifa Simba SC 0-0 Ndanda FC
Kichuyaaa anaingiza pale kwake Asante Kwasi.. Lakini ni Offside
29' mchezaji wa Ndanda ameunawa mpira na kuwa faulo.. Maeneo ya hatari tusubiri yatakayojiri
Inapigwa.. Kichuyaaa lakini golikipa anaweka katika himaya yake
Ndanda awanatengezea nafasi. Lakini mabeki wa Simba wanakaa sawa na kuondosha hatari zote.
Asante Kwasi anapiga shuti mbele. Lakini unamkuta mchezaji wa Ndanda
Mpira unakwenda kwenye lango la Simba.. Lakini Golikipa Manula anadaka mpira ule na kupiga mbele kwake Asante Kwasiiii kwa Nyoni.. Lakini wanapoteza
Mponda anakwenda.. Anapiga mbele lakini unatoka nje na kuwa Goal Kick
Mpira unapigwa mbele kwake Okwi na mabeki wanaokoa.
Simba SC wanacheza kwa kasi lango la Ndanda FC.. Huku wakiwa nyuma wakipanga mashambulizi.
38' ni kona kuelekea lango la Ndanda.. Anapiga Kapombe lakini golikipa anadaka bila wasiwasi
Kwake Masawe mbele kule lakini anawahi Mlipili na kupiga mbele
40' Simba SC 0-0 Ndanda FC
Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
Mbele kabisa apiga kwake Mrisho Ngasa lakini anatokea golikipa Manula anadaka.
Ndanda wanajaribu kupenya lango la Simba lakini Ulinzi uko imara chini ya Mlipili na Erasto
43' Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal.. Emmanuel Okwi anaindikia Simba SC bao la kwanza kwa shuti kali la mguu wa kushoto baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Kapombe
Simba SC 1-0 Ndanda FC
Unapigwa mpira kuelekea lango la Simba.. Ikiwa ni faulo
45+3 Anapiga moja ndefu na kuwa Goal Kick
Mpira unapigwa mbele kwake Erasto kwake Kotei. Lakini mpira ni mapumziko
Naam mpira ni mapumziko uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.. Ambapo Simba SC wapo mbele ya goli moja dhidi ya Ndanda FC
Kuelekea Kipindi cha pili. Mpira Umeanza Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ligi kuu Tanzania Bara VPL
46' Simba SC 1-0 Ndanda FC
48' Omar Mponda anakwenda mbeleee anapiga shuti golikipa Manula anapangua na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda
Simba wanakwenda lakini inakuwa faulo kuelekea Ndanda. Inapigwa faulo lakini ni goal kick
Ndanda sasa wanasogea lango la Simba kwake William.. Wanapoteza Ndanda
54' Katikati ya uwanja Simba SC wanapiga pasi mbili tatu.. Mkude anapiga kwa golikipa Aishi Manula
Masawe kwake Ngasa.. Mpira unaambaa na kuuwahi mchezaji wa Simba SC
Jacob anakwenda mbeleee pembeni anapiga shuti lakini anatoa nje Mlipili na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda
Kapombe... Kwake Asante Kwasi lakini mpira unakosa mmaliziaji na kutoka nje
60' Simba SC 1-0 Ndanda FC Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
Wanachukua Simba SC.. Kwasi lakini golikipa wa Ndanda anatokea na kudaka
Ngasa anapiga shuti lakini mpira unatoka nje lango la Simba na kuwa Goal Kick
63' Kida Rashid Juma anaingia kuchukua nafasi ya Nicholas Gyan
Kapombe lakini beki masoud anaokoa. Na Mpiraaaa unakwenda mbele lango la Simba
John wa Ndanda anakwenda na Mpiraaaa lakini Erasto anatoa nje na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda
Okwiiii.. Lakini anawekwa chini na kuwa faulo.. Maeneo ya hatari tusubiri. Inapigwa lakini ni Offside
69' Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ligi kuu Tanzania Bara VPL
Simba SC 1-0 Ndanda FC
Kwake Kichuyaaa.. Rashid Juma sasa. Lakini Asante anachelewa kuwahi mpira
Mpira umesimama baada ya mchezaji wa Ndanda kupata rabsha. Ameinuka na Mpira umeanza
Kona kuelekea lango la Ndanda FC.. Inapigwa lakini inakolewa na kuwa kona tena. Ambayo haikuzaa matunda
Bocco anakwenda anapiga shuti la juu juu na kuwa Goal Kick
76' Asante Kwasi anakwenda kwenye benchi na nafasi yake inachukuliwa na Mohamed Hussein
Ibrahim ametoka na nafasi yake inachukuliwa mchezaji ambaye nitakutajia
83' Ni free kick kuelekea lango la Ndanda FC. Inapigwaaaa mpira unagonga mwamba na kumkuta Boccoooo goo laaa ni Offside. Aliweka mpira kimiani tayari
87' Kwake Rashid. Lakini anapiga shuti lakini anaokoa beki wa Ndanda
90+4
Kuelekea kumalizika kipindi cha pili uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
90+2 Okwiiii anakwenda kwenye benchi na nafasi yake inachukuliwa na Mavugo Laudt
Mavugo anakotroo lakini ananyang'anya na mchezaji wa Ndanda
90+3 pembeni mwa uwanja Kapombe anarusha. Lakini Wanachukua Ndanda FC hata hivyo wanapoteza
Naam dakika 90 za mchezo wa VPL kati ya Simba SC dhidi ya Ndanda FC zimekamilika ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa goli moja bila majibu liliowekwa kimiani na Emmanuel Okwiiii na kufikisha magoli yake 20 kwenye ligi kuu Tanzania Bara..
Asanteni.. Ghazwat
Simba SC vinara wa ligi hiyo wakiwakaribisha Ndanda FC kutoka mkoani Mtwara.
0'1 mpira umekwisha anza uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Naona timu zote zikianza kwa kusoma mchezo wa mpinzani wake
07' Mpira sasa ni mashambulizi kwa pande zote.. Huku Simba SC wakijaribu kupata bao la mapema
10 ' Ndanda wanapanga shambulizi. Lakini mchezaji anachezewa madhambi. Inapigwa faulo lakini wanakaa vema mabeki wa Simba SC
Katikati ya uwanja Simba SC wanakwenda kwa kasi. Kwake Kotei anapasia Mkude.
14' Ni faulo kuelekea lango la Simba SC
15' Ndanda FC wanacheza eneo lao la kujidai..wanacheza kwa kujiamini sana.
Anachukua Kichuyaaa kwake Gyan.. Kwake huku Kotei.. Lakini Asante Kwasi anatoa mpira nje
Ndanda FC wanakwenda lakini inakuwa kona ambayo haikuzaa matunda
Bocco anakwenda na Mpiraaaa lakini inakuwa faulo kuelekea Ndanda. Eneo hatari sana
Wakati huo huo mchezaji wa Ndanda anapewa kadi ya njano. Inapigwa faulo kuelekea lango la Ndanda FC
20' Kichuyaaa anapiga lakini golikipa anapangua na kuwa kona ambayo golikipa anapangua na mabeki wanaokoa
24 ' uwanja wa Taifa Simba SC 0-0 Ndanda FC
Kichuyaaa anaingiza pale kwake Asante Kwasi.. Lakini ni Offside
29' mchezaji wa Ndanda ameunawa mpira na kuwa faulo.. Maeneo ya hatari tusubiri yatakayojiri
Inapigwa.. Kichuyaaa lakini golikipa anaweka katika himaya yake
Ndanda awanatengezea nafasi. Lakini mabeki wa Simba wanakaa sawa na kuondosha hatari zote.
Asante Kwasi anapiga shuti mbele. Lakini unamkuta mchezaji wa Ndanda
Mpira unakwenda kwenye lango la Simba.. Lakini Golikipa Manula anadaka mpira ule na kupiga mbele kwake Asante Kwasiiii kwa Nyoni.. Lakini wanapoteza
Mponda anakwenda.. Anapiga mbele lakini unatoka nje na kuwa Goal Kick
Mpira unapigwa mbele kwake Okwi na mabeki wanaokoa.
Simba SC wanacheza kwa kasi lango la Ndanda FC.. Huku wakiwa nyuma wakipanga mashambulizi.
38' ni kona kuelekea lango la Ndanda.. Anapiga Kapombe lakini golikipa anadaka bila wasiwasi
Kwake Masawe mbele kule lakini anawahi Mlipili na kupiga mbele
40' Simba SC 0-0 Ndanda FC
Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
Mbele kabisa apiga kwake Mrisho Ngasa lakini anatokea golikipa Manula anadaka.
Ndanda wanajaribu kupenya lango la Simba lakini Ulinzi uko imara chini ya Mlipili na Erasto
43' Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal.. Emmanuel Okwi anaindikia Simba SC bao la kwanza kwa shuti kali la mguu wa kushoto baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Kapombe
Simba SC 1-0 Ndanda FC
Unapigwa mpira kuelekea lango la Simba.. Ikiwa ni faulo
45+3 Anapiga moja ndefu na kuwa Goal Kick
Mpira unapigwa mbele kwake Erasto kwake Kotei. Lakini mpira ni mapumziko
Naam mpira ni mapumziko uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.. Ambapo Simba SC wapo mbele ya goli moja dhidi ya Ndanda FC
Kuelekea Kipindi cha pili. Mpira Umeanza Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ligi kuu Tanzania Bara VPL
46' Simba SC 1-0 Ndanda FC
48' Omar Mponda anakwenda mbeleee anapiga shuti golikipa Manula anapangua na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda
Simba wanakwenda lakini inakuwa faulo kuelekea Ndanda. Inapigwa faulo lakini ni goal kick
Ndanda sasa wanasogea lango la Simba kwake William.. Wanapoteza Ndanda
54' Katikati ya uwanja Simba SC wanapiga pasi mbili tatu.. Mkude anapiga kwa golikipa Aishi Manula
Masawe kwake Ngasa.. Mpira unaambaa na kuuwahi mchezaji wa Simba SC
Jacob anakwenda mbeleee pembeni anapiga shuti lakini anatoa nje Mlipili na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda
Kapombe... Kwake Asante Kwasi lakini mpira unakosa mmaliziaji na kutoka nje
60' Simba SC 1-0 Ndanda FC Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
Wanachukua Simba SC.. Kwasi lakini golikipa wa Ndanda anatokea na kudaka
Ngasa anapiga shuti lakini mpira unatoka nje lango la Simba na kuwa Goal Kick
63' Kida Rashid Juma anaingia kuchukua nafasi ya Nicholas Gyan
Kapombe lakini beki masoud anaokoa. Na Mpiraaaa unakwenda mbele lango la Simba
John wa Ndanda anakwenda na Mpiraaaa lakini Erasto anatoa nje na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda
Okwiiii.. Lakini anawekwa chini na kuwa faulo.. Maeneo ya hatari tusubiri. Inapigwa lakini ni Offside
69' Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ligi kuu Tanzania Bara VPL
Simba SC 1-0 Ndanda FC
Kwake Kichuyaaa.. Rashid Juma sasa. Lakini Asante anachelewa kuwahi mpira
Mpira umesimama baada ya mchezaji wa Ndanda kupata rabsha. Ameinuka na Mpira umeanza
Kona kuelekea lango la Ndanda FC.. Inapigwa lakini inakolewa na kuwa kona tena. Ambayo haikuzaa matunda
Bocco anakwenda anapiga shuti la juu juu na kuwa Goal Kick
76' Asante Kwasi anakwenda kwenye benchi na nafasi yake inachukuliwa na Mohamed Hussein
Ibrahim ametoka na nafasi yake inachukuliwa mchezaji ambaye nitakutajia
83' Ni free kick kuelekea lango la Ndanda FC. Inapigwaaaa mpira unagonga mwamba na kumkuta Boccoooo goo laaa ni Offside. Aliweka mpira kimiani tayari
87' Kwake Rashid. Lakini anapiga shuti lakini anaokoa beki wa Ndanda
90+4
Kuelekea kumalizika kipindi cha pili uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
90+2 Okwiiii anakwenda kwenye benchi na nafasi yake inachukuliwa na Mavugo Laudt
Mavugo anakotroo lakini ananyang'anya na mchezaji wa Ndanda
90+3 pembeni mwa uwanja Kapombe anarusha. Lakini Wanachukua Ndanda FC hata hivyo wanapoteza
Naam dakika 90 za mchezo wa VPL kati ya Simba SC dhidi ya Ndanda FC zimekamilika ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa goli moja bila majibu liliowekwa kimiani na Emmanuel Okwiiii na kufikisha magoli yake 20 kwenye ligi kuu Tanzania Bara..
Asanteni.. Ghazwat