mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,355
- 653
- Thread starter
- #21
Anatoa rai, vijana wasijifiche kwenye jamiiforums na facebook, wawe jasiri kwenye kugombea nafasi mbalimbali..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga picha hapo utuwekee hapa!
tupunguze na ulevi pia.Anaendelea toa ufafanuzi, vijana tuache lalamika, tutoe mipango na mikakati ya kutatua matatizo..
Mbona mnatuchanganya vyuo vya CBE na DIT vipo Morogoro road na Bibi Titi road, sasa kwa nini hayo matawi yafunguliwe Don Bosco Upanga kwenye kituo cha vijana kilichopo chini ya kanisa katoliki, kwa nini wasifungulie kwenye vyuo vyao?
Hilo jembe najipanga kulishusha Ukonga ili liyavue magamba ya kutosha. nyinyiem wakilisikia mahali matumbo yanawaunguruma na kuanza safari za mara kwa mara kuelekea msalani.
punguza kutoa povu la udini, siasa hairuhusiwi vyuoni..
Mbona mnatuchanganya vyuo vya CBE na DIT vipo Morogoro road na Bibi Titi road, sasa kwa nini hayo matawi yafunguliwe Don Bosco Upanga kwenye kituo cha vijana kilichopo chini ya kanisa katoliki, kwa nini wasifungulie kwenye vyuo vyao?
Hivi udini upo wapi hapo? Kuuliza kwa nini mnafanyia Don Bosco ndio udini?
Huo ni mtazamo wako tulishatoka huku mnajaribu kila mbinu mnafail.CDM wanasonga mbele.
Hivi udini upo wapi hapo? Kuuliza kwa nini mnafanyia Don Bosco ndio udini?
Mbona mnatuchanganya vyuo vya CBE na DIT vipo Morogoro road na Bibi Titi road, sasa kwa nini hayo matawi yafunguliwe Don Bosco Upanga kwenye kituo cha vijana kilichopo chini ya kanisa katoliki, kwa nini wasifungulie kwenye vyuo vyao?