Dar es salaam jifunzeni kutoka arusha
CCM kuchukua kata tatu na Chadema kuchukua kata moja. Anayebisha tuweke dau chini la sh 1.5M
Asante sana mkuu Mungi na makamanda wote on the field tunasubiri updates moto moto toka Benghazi !!
Makamanda wote wa Arusha Arushaone, Mungi, Filipo, Daudi Mchambuzi, Earthmover, Jackbauer, LiverpoolFC, Mzee wa Shamba, PakaJimmy, Preta, Blaki Womani, Crashwise pamoja na makamanda wengine wote ambao sijawataja, naomba mpokee salamu zenu za pongezi kutoka kwa mpiganaji mwenzetu Matola ambaye majukumu yamemtinga na yuko remote area ambako ameshindwa kupata access ya JF.
Kwa namna ya pekee kabisa anawapongeza na kuwashukuru kwa kuiongoza Arusha kufanya chaguo sahihi na bora kabisa kwa mustakabali wa ustawi wa demokrasia hapa nchini.
Amini usiamini ule mlipuko wa bomu arusha ulisaidia sana cdm kupata kura za huruma.hali ilikuwa mbaya kwa chadema kabla mlipuko ule haujatokea. Sasa changanyeni akili zenu mtajua wahusika halisi wa lile bomu ni wakina nani ? Na pia liliwanufaisha nini.
HUTAKI UNAACHA.
Hongereni na nyie ccm kwa KICHAPO KIKUBWA UGENINI...!!! WAPI MMEWAHI KUSHINDA USHINDI MKUBWA NYUMBANI? KAMA SI UMBEA NA UNAFIKI WENU....MNGESHINDA MNGESEMA MMESHINDA UGENINI?
Makamanda wote wa Arusha Arushaone, Mungi, Filipo, Daudi Mchambuzi, Earthmover, Jackbauer, LiverpoolFC, Mzee wa Shamba, PakaJimmy, Preta, Blaki Womani, Crashwise pamoja na makamanda wengine wote ambao sijawataja, naomba mpokee salamu zenu za pongezi kutoka kwa mpiganaji mwenzetu Matola ambaye majukumu yamemtinga na yuko remote area ambako ameshindwa kupata access ya JF.
Kwa namna ya pekee kabisa anawapongeza na kuwashukuru kwa kuiongoza Arusha kufanya chaguo sahihi na bora kabisa kwa mustakabali wa ustawi wa demokrasia hapa nchini.
aiseeeeee babayangu sijui like wanagongea wapi aki ya baba ningegonga like 2 basi chukua :A S kiss: la shavu mama totowewe hujawahi kugonga hiyo like unataka kugongewa tuu nyambaf
Mkuu kazi yetu ilikuwa nzuri sana.............. kwakweli hata kilo zimeongezeka kwa furaha isiyo kifani.
Wapiga kura wa Arusha wameudhihirishia ulimwengu kuwa CCM haikubaliki Arusha, na haitashinda tena Arusha hata aje Obama awasaidie kupiga kampeni.[/QUOTE
KUDOS MAKAMANDA WOTEE NA POLENI KWA KAZI NGUMU, HISTORIA YA NCHII HIKI ITAKAPOANDIKWA UPYA 2015 MAJINA YENU YATAKUWA KURASA ZA MBELE KABISA!!
Makamanda wote wa Arusha Arushaone, Mungi, Filipo, Daudi Mchambuzi, Earthmover, Jackbauer, LiverpoolFC, Mzee wa Shamba, PakaJimmy, Preta, Blaki Womani, Crashwise pamoja na makamanda wengine wote ambao sijawataja, naomba mpokee salamu zenu za pongezi kutoka kwa mpiganaji mwenzetu Matola ambaye majukumu yamemtinga na yuko remote area ambako ameshindwa kupata access ya JF.
Kwa namna ya pekee kabisa anawapongeza na kuwashukuru kwa kuiongoza Arusha kufanya chaguo sahihi na bora kabisa kwa mustakabali wa ustawi wa demokrasia hapa nchini.