Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kama Kikwete kumuona Lowasa ni mwizi wakati nae ni Jambazi..."Mwizi siku zote huwa anaona wenzake nao ni wezi"
Kama Kikwete kumuona Lowasa ni mwizi wakati nae ni Jambazi..."Mwizi siku zote huwa anaona wenzake nao ni wezi"
Wanabodi, nikiwa ktk kuhamasisha kuhusu kulinda kura leo asubuhi, policcm wameniweka kwenye gari lao kwa saa 5 mfululizo. Nikiwa napita vituo mbalimbali na kutoa angalizo kwa mawakala wa CDM walitokea policcm na kuniweka kwny gari lao, now niko free.
pole sana kamanda, harakati zote zinaambatana na misukosuko.
Wanabodi, nikiwa ktk kuhamasisha kuhusu kulinda kura leo asubuhi, policcm wameniweka kwenye gari lao kwa saa 5 mfululizo. Nikiwa napita vituo mbalimbali na kutoa angalizo kwa mawakala wa CDM walitokea policcm na kuniweka kwny gari lao, now niko free.