sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Timu ya soka ya Mbao ya Mwanza leo imefanikiwa kuwafunga mabingwa watetezi Simba ya Dar es Salaam kwa goli moja kwa bila
Katika mechi hiyo iliyofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, goli la washindi lilifungwa na Said Said kwa penalti katika dakika ya 27 ya mchezo huo.
Kwa matokeo hayo timu ya Mbao inaongoza ligi hiyo
==============
Dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza liko shwari kabisa kuelekea mtanange wa ligi kuu Tanzania Bara.
Leo Mbao FC toka jiji la Mwanza, anamkaribisha Bingwa Mtetezi, Simba SC.
Mechi hii inategemewa kuanza saa 10 kamili jioni.
Baki Hapa Hapa Kwa Taarifa Zaidi Juu ya Lineup, Historia, Msimamo n.k
UPDATE 1
Kikosi cha Simba SC Kinachoanza Leo;
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Erasto Nyoni
5. Pascal Wawa
6. Jonas Mkude
7. Shiza Kichuya
8. Clatous Chama
9. John Bocco
10. Emmanuel Okwi
11. Mohammed Ibrahim
Kikosi cha Akiba ni; Deogratius Munishi; Paul Bukaba; Said Ndemla; James Kotei; Marcel Bonaventure: na 'The Man Himself', Meddie Kagere a.k.a MK14.
Katika mechi hiyo iliyofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, goli la washindi lilifungwa na Said Said kwa penalti katika dakika ya 27 ya mchezo huo.
Kwa matokeo hayo timu ya Mbao inaongoza ligi hiyo
==============
Dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza liko shwari kabisa kuelekea mtanange wa ligi kuu Tanzania Bara.
Leo Mbao FC toka jiji la Mwanza, anamkaribisha Bingwa Mtetezi, Simba SC.
Mechi hii inategemewa kuanza saa 10 kamili jioni.
Baki Hapa Hapa Kwa Taarifa Zaidi Juu ya Lineup, Historia, Msimamo n.k
UPDATE 1
Kikosi cha Simba SC Kinachoanza Leo;
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Erasto Nyoni
5. Pascal Wawa
6. Jonas Mkude
7. Shiza Kichuya
8. Clatous Chama
9. John Bocco
10. Emmanuel Okwi
11. Mohammed Ibrahim
Kikosi cha Akiba ni; Deogratius Munishi; Paul Bukaba; Said Ndemla; James Kotei; Marcel Bonaventure: na 'The Man Himself', Meddie Kagere a.k.a MK14.