Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,682
- 8,808
Bwege mwenyewe bwana povu uko kwa yanga yenu walioanza mgomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwege mwenyewe bwana povu uko kwa yanga yenu walioanza mgomo
Tatizo waliokuwa wanashangilia enzi za MALINZI ndio leo wanalia nyakati za KARIA... Leo kwangu kesho kwako.Hata ingetokea yanga hii nisingeshangilia kabisa..yan ligi yetu bado sana aisee
Njaa zinaharibu hii ligi
Kubebwa tumebebwa na mpira mbovu tumecheza,ila penati zipo clear hazina shida. Halafu Okwi hakuwa offside wakati mpira umepigwa. Usijifichie kwenye uSimba wewe ni churaMimi si shabiki ni mwanachama hai wa Simba Sports Club lkn kwa hali hii niliyoiona kwenye mchezo wa leo siyo sawa, tumebebwa mno mpaka mpira umepoteza ladha. Penalty zote mbili hazikustahili na pia hiyo iliyotafsiriwa kama offside kwa KMC haikuwa offside ni vile tu kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia. Ningefurahi zaidi kama ubingwa wetu ungepatikana kwa nguvu na uwezo wa wachezaji na benchi la ufundi ili tuwe na nafasi ya kuwapima wachezaji wetu kuelekea mashindano makubwa ya Club Bingwa Africa.
Wakwendeee uko simba ikishinda tu yanga wote wanajazana kwenye thread ya simba iwe tumebebwa au hatujabebwa haiwahusu wapambane na team yao wasubiri na wao kubebwa
Achana nap hao mkuu makelele fcWambie sisi nawao nani mabwege?? Maana jana wachezaji wa yanga walisusia mazoezi kisa mshahara mwezi wa tano hawajalipwa,sasa mshabiki matonya fc unakuja hapa nakusema simba nimabwege,tumefka robo fainal ya caf nyie mlifka mwaka gani huku??
Msituchoshe tusichoshane pambaneni na yanga yenu ya simba hayawahusu kabisaUshabiki usitufanye tuwe vipofu nafahamu wewe nimwanamke mpenda mpira tena sana lkn penye ukweli sema kweli ni kwa manufaa mazima ya mpira wetu wala sio vinginevyo.
Woyooooooo, piga keleleeeYalivyo mabwege utaona yakishangilia hapa bila aibu
Kubebwa inapoteza fair na ladha ya soka.Mpira wa kubebana sio fair ata kidogo yani ata mtoto mdogo anajuwa simba kabebwa tena kwa mbeleko kali.
Hawa watu wanatoka kapa season hii... ngoja wajikune tuWakwendeee uko simba ikishinda tu yanga wote wanajazana kwenye thread ya simba iwe tumebebwa au hatujabebwa haiwahusu wapambane na team yao wasubiri na wao kubebwa
TAKUKURU waingie kama kwa MALINZIKaria sio wakuchekewa tena anaua mpira wetu.. TAKUKURU ingieni kazini hii aibu sasa. .
Utasikia eti M-PESA.. eti Penalt, . eti refa.. eti Mo,. eti MANARA.Simba ikishinda imebebwa, Ikifungwa haina uwezo. Sasa tuwaelewe vp?
Kila mtu ashinde mechi zake bhana
Hasira zao za team yao na kuja kutupigia kelele sisiHawa watu wanatoka kapa season hii... ngoja wajikune tu
kila heri KMC
Malinzi ubadhirifu . .unajitekenya unacheka mwenyewe Nakumbuka Dida na wenzake walikamatwa na TAKUKURU . Yanga msifumbie macho kama mbwai mbwaiTAKUKURU waingie kama kwa MALINZI
Kuna mechi hata uwanjani hatuingia lakini tutapa alama 3 na goli 2Nimecheka pale erasto nyoni alipotoa pasi mbovu hlf kmc wakaiwahi,fasta refa akapiga filimbi eti faulo ,dah!si kwa mbeleko hii ya leo
Marefa wa Malinzi magoli ya TAMBWE... na badoMalinzi ubadhirifu . .unajitekenya unacheka mwenyewe Nakumbuka Dida na wenzake walikamatwa na TAKUKURU . Yanga msifumbie macho kama mbwai mbwai