More Tiz
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 2,232
- 426
Tunasubiri kusikia mengi kutoka katika hiyo press conference
Hivi sio siku hizi wanazuiwa kupiga za uso?
Tunasubiri kusikia mengi kutoka katika hiyo press conference
Nikiitwa kwa hili nitathibitisha, alafu acha kukadiria umri wa watu usiowafahamu una uhakika gani kwamba mimi ni Bwana mdogo wako? mjinga mkubwa wee!!!
Wee mama mbona umeniandama? mara dogo mara mzee hii imekaaje????kwa jibu lako umedhihilisha kua wewe ni bwana mdogo.
siwezi poteza muda na mtu wa aina yako.
ungekua nao huo uwezo si ungelichukua hatua badala ya kuishia kuandika humu!?
pole mzee.