Kama leo ndio hukumu, Tundu Lisu alimtetea lini Lema? hapa tunachanganyana, pamoja kwamba mimi si mwanasheria lakini naamini baada ya utetezi wa maandishi lazima kuwepo na malumbano ya hoja za mawakili kabla ya Jaji kutangaza siku ya kutoa maamuzi. niko tayri kurekebishwa kama siko sahihi.
Kama leo ndio hukumu, Tundu Lisu alimtetea lini Lema? hapa tunachanganyana, pamoja kwamba mimi si mwanasheria lakini naamini baada ya utetezi wa maandishi lazima kuwepo na malumbano ya hoja za mawakili kabla ya Jaji kutangaza siku ya kutoa maamuzi. niko tayri kurekebishwa kama siko sahihi.
Umeona eeh!Kama leo ndio hukumu, Tundu Lisu alimtetea lini Lema? hapa tunachanganyana, pamoja kwamba mimi si mwanasheria lakini naamini baada ya utetezi wa maandishi lazima kuwepo na malumbano ya hoja za mawakili kabla ya Jaji kutangaza siku ya kutoa maamuzi. niko tayri kurekebishwa kama siko sahihi.
Alute: rufaa ni batili on a decree of the high court. Decree haikubaliani na hukumu.
Jamani hivi hukumu ikiwa imeshaandikwa si huwa inasubiliwa kusomwa tu? je malumbano haya yatabadili hukumu ambayo imeshaandikwa? nadhani U Great Thinker uanzie kwenye kujijibu maswali kama haya. hakuna hukumu leo.Alute: rufaa ni batili on a decree of the high court. Decree haikubaliani na hukumu.
hakuna hukumu hapo .... ni ngonjera tu.Jamani hivi hukumu ikiwa imeshaandikwa si huwa inasubiliwa kusomwa tu? je malumbano haya yatabadili hukumu ambayo imeshaandikwa? nadhani U Great Thinker uanzie kwenye kujijibu maswali kama haya. hakuna hukumu leo.