youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
usitufanye nasi tukautilia mashaka uraia wako aseeh..kuwa makin na maswali akoDiamond Ni Msanii Wa Tanzania Au Nigeria
usitufanye nasi tukautilia mashaka uraia wako aseeh..kuwa makin na maswali akoDiamond Ni Msanii Wa Tanzania Au Nigeria
wenye team pumba washagundua nin mwanaharakat chibu anafanya,so wanatia ngumu ktk nyuso zao,but mioyo inashuhudia juhudi zake..?!Ifike wakati tuwe tunashabikia vyetu kama nchi. Hizi timu za chuki zinamadhara katika ustawi wa vijana wetu na muziki wetu.
Ilinde furaha yako usije kukutana na team za jirani wakakuuzia ndimu nae malimao yao ukajikuta unakunja sura Bure ..keep yr smile safe from haters..?!Yaani nimefurahi walioenda kumpokea airport.#Hewillneverwalkaloneindeed .
Diamond Ni Msanii Wa Tanzania Au Nigeria
Hizi habari ni za kweli kabisa na mmoja wa hao waganga kasema wameagizwa na Ally kiba,Wema Sepetu na Joketi ili wahakikishe kuwa DIAMOND haondoki na TUNZO (hivi ndo machizi wanavyojibiwa ukiangaika kulumbana nao utakuwa nawe ni chizi mwenzao)kuna habari hii imezagaa kwamba walikamatwa na polisi wa afrika kusini kwa kubeba vitu walivyovitilia mashaka.Walihojiwa na baadae kuachiwa,je hili ni kweli? kama ni kweli tunaelekea kubaya kama taifa
Kwetu sisi ambao burudani ni sehemu ya maisha tunafurahia pole kwako uliepoteza safar ako ya matumaini..nami n¨¤anza kuhic unaweza Kuwa underground artist na hujui utatoka Lin..komaaa jombaaKuna mtu yeyote humu ndani huwa anakula kwa diamond? Au anaepewa kodi ya nyumba? Kama yupo nadhan kama yupo ndie anaepaswa kushangilia hizo tuzo na masuala hayo
Mwenzako mi ni turufu
si garasa
mwenye nyota ya umaarufu
si kupapasa
Tena jokeri la nguvu
Makarata oooh
Tena hodari wa nguvu si kwasakwasa
pipooooooooooz kaaaaaaama nawaona vile wakina mwafulani na kiongozi wao le kimbaz walivyo panick hahahaha
NEXT STOP
+ July 24, Moshi
+ August 1, Kenya Nairobi
+ August 8, Tanga
MTANYOOKA TU!!
Wapi walinda tembo kwa kujitolea??
Mtajuta kutufahamu hahahaha!!!!
aisee umeona ule mjengo wa diamond?
Huyu shardcole yuko yapi atimize ahadi yke asifanye wa2 wajinga kma anaogopa wa2 kumshika kalio....aombe escort y police
King of Afro pop aka Rula anauliza vipi wameshanyooka???
Nipo mkuu!Chinga One uko wapi mkuu???