Live Updates: Misa ya Maziko ya Kardinali Rugambwa kanisa la Kashozi - Bukoba

KAUDO

Senior Member
Aug 10, 2011
138
67
Misa ya Maziko ya Kardinali Rugambwa inaendelea katika kanisa la Kashozi nje ya mji wa Bukoba, baada ya misa yatafuata maandamano kuelekea kanisa Kuu la Bukoba yatakapofanyika maziko rasmi.

Misa imeongozwa na Askofu Thadeus Ruwaich kutoka jimbo la Mwanza na imeisha muda mfupi uliopita, Watu ni wengi, mvua ya wastani inapiga.

attachment.php

Kanisa atakamozikwa mjini Bukoba.

Chini ni picha za awali za ibada huko Kashozi.
attachment.php


attachment.php


His Eminence Laurean Cardinal Rugambwa

The First African Cardinal
(1912 - 1997)​

He was born on 12th July 1912, in of an aristocratic family Bukongo village, Rutabo Parish, Bukoba, North west of Tanzania on the bourder with Uganda. After his Secondary school education at Rubya Junior Seminary and his Philosophy and Theology studies at Katigondo major Seminary in Uganda, he was ordained priest on 12th December, 1943. After years of pastoral work, in 1948 he was sent to Rome for higher studies. He got his doctorate in Canon Law at the Urban University.

On 16th December 1951, Fr. Rugambwa was nominated Apostolic Vicar of Lower Kagera. He was ordained Bishop on 10th February 1952. In 1953 the vicariate was raised to a diocese of Rutabo. The diocese was run by an exclusively African clergy, they were 18, all determined to prove themselves. They managed with little financial support as they had little outside contacts.

Under him with success they organised the people to support their diocese. In recognition of these successful efforts, Pope John XXIII elected him the first African cardinal in history in March 1960. The same year cardinal Rugambwa was transferred to Bukoba diocese. He participated in the Second Vatican Council.

Due to his contributions he was published as one of the eminent personalities of the council. After that he worked in a number of pontifical commissions. In his diocese he organised people into social guilds and trained many people both locally and abroad both men and women.

A number of them were destined to hold important posts of leadership in the country. By 1969 he had developed the diocese both spiritually and materially through hospitals and schools. Among the hospitals are counted Rubya Hospital and Mugana Hospital, among the schools is the major seminary of Ntungamo and the girls secondary school called after him, 'Rugambwa secondary school'.

In 1969 he was nominated the Archbishop of the Capital city of Tanzania Dar es Salaam. He was its pastor till 1992 when he retired at 80 years. Here he introduced religious from different congregations both men and women. This helped him to open many parishes in the predominantly Moslem city. He built its first catholic hospital at Ukonga. At the end he founded a women religious congregation for Dar es Salaam, the Little Sisters of St. Francis of Assisi.

Both in Bukoba and Dar es Salaam he was the undisputed leader of all religious denominations, the catholics, protestants and moslems. They all accepted his leadership in comon negotiations with the government. All governments respected him and took seriously his word.

His Eminence Cardinal Laurean Rugambwa died on 8th December 1997 at 22.15 hours. His body was laid to rest in the church at kashozi the first mission in Kagera region, north of Tanzania. A good devotion has developed around his tomb with people coming from far to pay their homage and say a prayer. It will be transferred to the Cathedral church once the repairs are finished.

He is remembered for his simplicity, pastoral concern especially for the spiritual and social needs of the people, and his solicitude for the pastoral workers. His relations with all including the government officials was amiable. He has left a rich legacy to all especially in the places he has worked.

Previously: https://www.jamiiforums.com/habari-...dinali-rugambwa-kuzikwa-upya-huko-bukoba.html
 

Attachments

  • misa 2.jpg
    misa 2.jpg
    31.7 KB · Views: 2,234
  • rwanda.jpg
    rwanda.jpg
    21.8 KB · Views: 350
  • rubya.jpg
    rubya.jpg
    29.6 KB · Views: 346
  • misaaaa.jpg
    misaaaa.jpg
    21 KB · Views: 2,153
  • kanisa 34.jpg
    kanisa 34.jpg
    1.4 MB · Views: 445
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana akipewa maelekezo ya ofisa wa usalama barabarani katika kanisa la Kashozi kabla ya maandamano kuelekea kanisa kuu la Bukoba

attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • jordan.jpg
    jordan.jpg
    24.9 KB · Views: 1,293
  • jordani 2.jpg
    jordani 2.jpg
    23.3 KB · Views: 1,301
  • jordani 3.jpg
    jordani 3.jpg
    19.9 KB · Views: 1,318
Kwakweli pengo kama upo muonye kilaini mapema asiwachefue watanzania na kulidhalilisha tena kanisa...
 
RIP Kardinali, bado sijaelewa ni kwa nini hukupenda kuzikwa katika kanisa lililokustahili; Kanisa kuu la Mt. Joseph - Dar es salaam.

Utuombee kwa Mungu kwani ile amani kidogo uliyotuacha nayo sasa inapotea!
 
Timiza yale yakupasayo kwa unyenyekevu kabla ya wakati wako,ili ktk wakati wa Mungu akupe zawadi yako..Hivyo ndivyo alivyofanya Rugambwa.
R.I.P
 
Taswira ya Kanisa kuu la Rumuli kabla ya kuwasili kwa maandamano yenye mwili wa Kardnali Rugwambwa.Barabara imefungwa na watu wanazuiwa kuingia kwa sasa pengine mpaka maandamano yawasili.Waziri Mkuu Mizengo Pinda atawasili uwanja wa ndege wa Bukoba saa tisa alasiri.

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • taswia3.jpg
    taswia3.jpg
    20 KB · Views: 1,114
  • taswira 2.jpg
    taswira 2.jpg
    27.6 KB · Views: 1,137
  • taswira 4.jpg
    taswira 4.jpg
    22 KB · Views: 1,113
  • taswira.jpg
    taswira.jpg
    19.5 KB · Views: 121
ASKOFU THADEUS RUWAICH: Kardinali Rugambwa ni Mkatoliki aliyeacha mifano hai itakayokumbukwa daima
 
KAUDO

kwani dar-bukoba kwa ndege masaa mangapi?kwani mida ya asb kama saa 4 msafara wake umenipita mitaa ya gymkhana club ,hoping alikuwa anaenda airport
 
Last edited by a moderator:
Baadhi ya magari yameanza kuwasili kutoka Kanisa la Kashozi, hiki ni kikundi cha wasanii kutoka nchini Rwanda.

attachment.php


Kwa taarifa: Kituo Kikuu cha Polisi Bukoba kimeangaliana na Kanisa kuu la Bukoba utakapozikwa rasmi mwili wa Kardinali Rugambwa

attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • ngoma.jpg
    ngoma.jpg
    32 KB · Views: 1,053
  • ngoma 2.jpg
    ngoma 2.jpg
    27.4 KB · Views: 1,048
  • ngoma 3.jpg
    ngoma 3.jpg
    25.9 KB · Views: 1,067
nziriye,

Bukoba-Dar kwa ndege kubwa ni mwendo wa saa mbili na nusu angani.

Taarifa iliyotolewa na ofisi ya RC ni kuwa Pinda atapokelewa saa tisa alasiri na kwenda moja kwa moja kanisani.
 
Last edited by a moderator:
Maandamano ya kupeleka mwili ya Kardinali Rugambwa katika kanisa kuu la Bukoba kutoka Kanisa la Kashozi yanaendelea.

Wanaweza kuwasili baada ya saa moja kuanzia sasa kutokana na wingi wa watu waliojipanga barabarani huku magari yakienda taratibu sana.

attachment.php

attachment.php

attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • awila 2.jpg
    awila 2.jpg
    25.5 KB · Views: 1,427
  • awila 3.jpg
    awila 3.jpg
    27.4 KB · Views: 1,420
  • awila.jpg
    awila.jpg
    28.2 KB · Views: 1,463
  • AWILA 4.jpg
    AWILA 4.jpg
    24.9 KB · Views: 1,422
Back
Top Bottom