Live Updates: Mechi za Funga dimba VPL,Yanga kuhangaikia nafasi ya pili

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,776
102,138
115805450_1752661721566728_5162379620552660729_n.jpg

Mechi za funga dimba
115985743_1732292656910015_2733828876688588671_o.jpg

Msimamo wa VPL

113571448_1661643817327960_1476707834865878069_o.jpg

Kikosi cha Mnyama
113577880_3224503287571048_1798173816784766776_o.jpg

Kikosi cha Yanga

Updates Half Time
109448034_1754745191358381_821783093360750458_n.png



Updates Full Time
116291781_1754786564687577_8617825763780084040_n.png
 
Timu ya Wananchi itamaliza kwa kishindo dhidi ya wana Paluhengo huku Bodaboda fc au Mikia wakitiwa Korokoroni na Polisi
 
Kila lakheri Lipuli fc, Coastal Union, Ruvu Shooting, Azam fc, pamoja na Mabingwa wa nchi Mnyama mkali Simba sc.

Tukutane 2020/2021
 
Duh huo uwanja sasa ni kiparaaaa ila Simba tunapiga sambusa kama tupo Simba Mo Arena
 
Kila la heri mtani.....mjipooze na ushindi wa Pili,mwakani maweza kucheza mtoano na Singida United!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom