Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Tutakua moja kwa moja kutoka Viwanja vya Sinoni katika jiji la Arusha Kwenye mkutano Mkubwa wa Kampeni za Kipenzi wa Arusha na mbunge anayesubiri kuapishwa siyo Mwingine ni Godbless J Lema
Viongozi wakuu wa umoja wa Ukawa wakiongozwa na Mh. Lowasa, Sumayi, Mbowe na Mbatia bila kuwasahau wabunge wa ukawa watanguruma mojakwa moja kutoka viwanja vya sinoni na tutawaletea yote hayo Live.
Maandalizi yote muhimu yanaendelea vizuri kabisa hapa.
Viongozi wakuu wa umoja wa Ukawa wakiongozwa na Mh. Lowasa, Sumayi, Mbowe na Mbatia bila kuwasahau wabunge wa ukawa watanguruma mojakwa moja kutoka viwanja vya sinoni na tutawaletea yote hayo Live.
Maandalizi yote muhimu yanaendelea vizuri kabisa hapa.