technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Kuanzia Rais Magufuli aingie Madarakani ametumia Tv na Redio kuwa live mpaka anapoenda kuangalia daraja lililovunjika.
Imagine unatumia million 10 kuwa live wakati ungetumia million 50 kurekebisha daraja kimya kimya.
Je ni pesa za walipa Kodi kiasi gani zimetumika kuandaa live coverage ya mikutano yote ya Rais Magufuli hata ambayo haina tija?.
Wanyonge tunaweza kuambiwa ni kiasi gani kimetumika kuandaa mikutano hi?
Kuanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 je kwa kuwa live kwenye tv 3 mpaka 4 na radio kadhaa je ametumia pesa kiasi gani?
Imagine unatumia million 10 kuwa live wakati ungetumia million 50 kurekebisha daraja kimya kimya.
Je ni pesa za walipa Kodi kiasi gani zimetumika kuandaa live coverage ya mikutano yote ya Rais Magufuli hata ambayo haina tija?.
Wanyonge tunaweza kuambiwa ni kiasi gani kimetumika kuandaa mikutano hi?
Kuanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 je kwa kuwa live kwenye tv 3 mpaka 4 na radio kadhaa je ametumia pesa kiasi gani?