Anampiga dongo SLAA kuhusu kuwaomba wananchi walinde kura zao.... NEC bado hawajibu maswali ya msingi!!! anataka mtu ajitokeze aeleze jinsi kura zinavyoibiwa, anachekesha kweli huyu mzee
nasema eti kuna majaji respected, ana sahau hata KIVUITU alikuwa jaji, kwanini Tz hawataki kuona maswali yote hayo yasingelikuwepo kama tume ingekuwa huru, huyu mzee kana don king anasema wannchi wanaimani na tume
Anampiga dongo SLAA kuhusu kuwaomba wananchi walinde kura zao.... NEC bado hawajibu maswali ya msingi!!! anataka mtu ajitokeze aeleze jinsi kura zinavyoibiwa, anachekesha kweli huyu mzee
Anaeongea sasa hivi eti ni Proffessor, huyu mzee ni mtu wa ajabu sana hata huo uprofesa alionao sijui aliupateje msambaa huyu CHALIGHA!!!! hivi mnaoangalia, nisaidieni anajibu swali gani?? most of the professors are confused, ndo nathibitisha kwa huyu mzee wa watu hapa! ila maprofesa wanachanganyikiwa wengi ni hawa wakwetu, mfano; kumbuka mmoja wa maprofesa wako aliekufundisha .....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.