Kulikua na kadingi ka zanziberi kameishia kuuza gahawa tu na kuuza sura kwenye screen hata sijamwelewa alichokua anaongea... madai yake ni kwamba eti vijana wa siku hizi wana hulka ya vurugu........ndo nimeanza kusikia hili leo, basi kama kuna watu wenye hulka ya vurugu basi naomba akubali pia kuna watu wenye hulka ya WIZI; JUST otherside of the coin
Uyu Kiravu angekuwa mwanafunzi wanguangelamba zero.
Unapoongelea kucheleweshwa matokeo DSM alafu unasema point ni giografia segerea unatumia mitumbwi kukusanya matokeo?
Anasema kama ubungo wapiga kura wanafika 400000 kama turn up ni 50 percent then kura laki 2 unaweza tumia siku 2 NONESENSE.
Majibu anayotoa naona ni kwa maswali ambayo anayo moyoni.
Mwangalizi toka Zambia naona kawatwanga swali la maana
Sio kipindi maalumu, wanavuta muda kabla ya kuanza kutangaza matokeo ya majimbo yaliyobaki...sasa anauliza swali mshkiji mmoja toka ZAMBIA, anauliza jinsi gani NEC inavyoweza kukwepa mtihani... kwani NEC ndo wanaotetea serikali iliyoko madarakani, swala la msingi ni jinsi gani NEC inaweza kufanya lazi kwa uhuru bila kuingilia na serikali: conflict of interest kati ya rulling system dhidi ya NEC
Kiravu ndo anajibu swali hilo kati ya NEC vs CCM, anajibu kwa hasira na jazba!!! anadai tume yaweza kulinda maslahi ya wananchi through katiba bila kuingiliwa na mtu....JAMANI NI KWELI????
nimesikilza yote ila ni laaaaa blaaaaaaa tu basi, well yapo machche kajibu okay sababu yapo straight but ikifikia uswahiba na govt kashindwa kabisa kuonyesha wazi ni wapi haswa tuiamini tume either kuemea hata mahali palipoonekana uchaguzi unavurugwa! hivi mpo watu 20 ndani kuhesabu moja hadi laki mbili inahitaji phd au? kwani walikuwa wanaandika na report ya uchaguzi? non sense.makame kasita kusoma hapa sijui kapigwa na feki hapa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.