Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Hebu yeyote aangalie hawa vijana! Hoja zao ni nyepesinyepes tu hata Marin anawauliza swali wanajibu kijuu juu tu!
Hizi mada zinaanzia katikati kana kwamba wote tunauelewa sawa sawa na tukio lililoko. please naomba mtoa mada aeleze issue in detail ili kumsaidia hata mtu anayeisikia kwa mara ya kwanza awe na ufahamu wa kutosha ili aweze kuichangia vizuri. Tukiweka mada nusu nusu hapa hatutakuwa tunatendeana haki na hii inatunyima kabisa fursa ya kushiriki mijadala sawasawa.
linanichefua nisije tapika mimi kwa kuangalia mautumbo ya bata kama haya....