ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
NBC Premier League leo Jumatano. Mabingwa watetezi watakuwa uwanja wa Benjamin Mkapa kuwaalika GEITA GOLD FC. Geita Gold wameshinda mchezo mmoja tu tangu ligi imeanza, huku wakiwa na kumbukumbu ya Kumbana Yanga Sc pale kwa Mkapa na Kuibuka na Ushindi Mwembaba wa Goli 1.
Koch Msaidizi Wa simba Alisema leo kikosi kitakuwa na mabadiriko makubwa kwasababu ga kujiandaa na Mchezo wa Marudiano wa Dec 4 na Red Arrows.
Swali Je, Pablo atakubali kuanzisha kikosi Cha Majaribio Leo? Ana Ikitegemewa Mchezo kuwa Mgumu kutokana na Matokeo ya Geita Gold
Je, leo Geita Gold wataweza msimamisha mnyama? Tuwe hapa pamoja kuanzia saa 1:00 usiku.
Koch Msaidizi Wa simba Alisema leo kikosi kitakuwa na mabadiriko makubwa kwasababu ga kujiandaa na Mchezo wa Marudiano wa Dec 4 na Red Arrows.
Swali Je, Pablo atakubali kuanzisha kikosi Cha Majaribio Leo? Ana Ikitegemewa Mchezo kuwa Mgumu kutokana na Matokeo ya Geita Gold
Je, leo Geita Gold wataweza msimamisha mnyama? Tuwe hapa pamoja kuanzia saa 1:00 usiku.