FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,800
- 109,057
John Shibuda, anawapakia magwanda wenzake kimafumbo bungeni.
Moja ya alilosema, ni inakuwaje "kengeza" mmoja asisikilize hoja za wenzake kwa uroho wa "madaraka"?
Nikiipata Hansard ntaendeleza yote aliyoyasema.
Kengeza huyo ni nani? Shibuda umeniacha hoi.
Kimenuka.
Moja ya alilosema, ni inakuwaje "kengeza" mmoja asisikilize hoja za wenzake kwa uroho wa "madaraka"?
Nikiipata Hansard ntaendeleza yote aliyoyasema.
Kengeza huyo ni nani? Shibuda umeniacha hoi.
Kimenuka.