Elections 2010 LIVE ON TV: Kikwete ashinda kuwa rais kwa 61.17%

Lipumba kawamwagia tume upupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
rangi ya kijani imetawala,na wengine vikwapa vimeloa jasho sijui walikua na kazi gani huko nje.
 
Hivi kwanini uchaguzi usirudiwe?

Kimahesabu: Registered - Voted = 11,508,020 (57%)!

Ina maana watu mil 11.5 ni "undecided" na JK amepewa ridhaa na watu mil 5 tu kati ya Mil 20!

In other word ceteris paribus JK anakubalika by a mere 25% of the eligible voters!
 
welll Lipumba anaongea vyema juu ya ushiriki wa wananchi ktk uchaguzi, na jinsi hali halisi ilivyo, changamoto alizo nazo raisi alieshinda
 
26.34% maskini.........,Kajipange upya Dr. usikate tamaa, sio mwisho wa uchguzi.
 
Lipumba anatoa hotuba kwa niaba ya Dr Slaa ambaye ni mshindi wa pili hajafika kupokea matokeo
 
NEC admits mixing up election results (The Citzen page 3 dated 5th November 2010).

Dr. Slaa ana haki ya kutoudhuria upuuzi huo. Hiyo asilimia 61 aliyoipata kikwete kwa kupewa kura 30960 badala ya 17789 na Dr.Slaa kupewa 3789 badala ya 22036 kwenye jimbo moja tu na wakatangaza matokeo bila kurekebisha hizo dosari inaonyesha ni jinsi gani matokeo yaliyotangazwa yasivyo yale ya wapiga kura!

Utatangazaje matokeo wakati unakiri dosari kubwa kama hizo na mtu makini akubali matokeo na kushangila kama zuzu!

Mr. Kiravu haukuwa makini na dhambi hii itakutafuna mpaka mwisho wa maisha yako kama umezeeka hivyo ungewaachia vijana hiyo kazi
 
Lipumba ndio shujaa wa kweli, katoa nasaha ya maana, Silaha angeweza, Anampatia Dr. kikwete Irani yao ipate kumsaidiaa
 
Lipumba sasa anaongea kwa niaba ya walioshindwa na anaikosoa tume katika zoezi zima. Anasema Jk kachaguliwa na 27% ya wapiga kura.
 
Atapataje 30% wakati wachakachuaji mko makini kwenye kazi yenu?[/QUOTE]

hivi mlikua Serious mlitaka Slaa awe Rais au mlikua mnatania?
 
Kampa changamoto JK alifanyie kazi hilo kukuza demokrasia. amesema tume imetuangusha.

Pia kampa JK ilani ya uchaguzi ya CUF akihitaji kula "desa"
 
Back
Top Bottom