Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Ridhiwani Kikwete kapiga kaznzu yake safi kabisa. JK kapiga green. Lipumba shati ya kitenge. Alivaa siku ya kupiga kura kama sikosei.
Ridhiwani ni mgombea wa chama gani?maana wapo wa CCM(Jk),CUF(Lipumba)