dikteta kikwete ameutaka uraisi kwa miaka kibao, then, what's next?
amesema haruhusiki lakini anautumia mwanya huo ,sasa kosa lipo wapi ,ikiwa slaa babu zima ameogopa kuface umma na angeweza direct kuyakataa matokeo hapohapo kama kweli ni mpiganaji lakini wapi hakuwepo ,yaani huku nje unasema umeibiwa ,sasa kama ameibiwa kweli si angeenda hapo na hapo anajua kuwa angetakiwa kusema chochote ,ndio hapo angemwaga mboga ???