Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Wadau habari za asubuhi:
Kipindi cha tuongee asubuhi kipo hewani sasa, mada jicho letu ndani ya habari.
Wanajadili namna vyombo vya habari vilivyo report vulugu za mbagala na Zanzibar. Je vyombo vya habari vimekidhi haja na kiu ya wasomaji na wasikilizaji na weledi wa uandishi wa habari.
Dotto Bulendu hajatushirikisha jukwa la wenye akili anawashirikisha fb.
Hatunyimwi kujadili kwa faida yetu.
Kipindi cha tuongee asubuhi kipo hewani sasa, mada jicho letu ndani ya habari.
Wanajadili namna vyombo vya habari vilivyo report vulugu za mbagala na Zanzibar. Je vyombo vya habari vimekidhi haja na kiu ya wasomaji na wasikilizaji na weledi wa uandishi wa habari.
Dotto Bulendu hajatushirikisha jukwa la wenye akili anawashirikisha fb.
Hatunyimwi kujadili kwa faida yetu.