Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Wadau tuongee asubuhi star tv imeanza tusogelee tv zetu tupate mbili tatu.
Wadau tuongee asubuhi star tv imeanza tusogelee tv zetu tupate mbili tatu.
jamani miye kwangu loe ni wk end kids ndio wako bize na tv na cartoons za miss dora sasa nijuzeni aisee. siwez kuwakatili manake its the only day they have ya kuangalia.
Kwanini wasijadili tanzania daima,nipashe augazeti yote.hii inaonyesha wao wenyewe wameegemea upande mmoja.
YAANI TANGU DIARO AACHWE KWENYE BARAZA LA MAWAZIRI HII TV YAKE IMEKUA KIMEO HASWAA.
Ndo maana hata bunge siku hizi wanaonyesha live tu siku wabunge wameichachamalia serikali.
HAWAFAI
Hufai weweKwanini wasijadili tanzania daima,nipashe augazeti yote.hii inaonyesha wao wenyewe wameegemea upande mmoja.
YAANI TANGU DIARO AACHWE KWENYE BARAZA LA MAWAZIRI HII TV YAKE IMEKUA KIMEO HASWAA.
Ndo maana hata bunge siku hizi wanaonyesha live tu siku wabunge wameichachamalia serikali.
HAWAFAI
Tena Muda wake ukifika atajutaHufai wewe
mimi nawashangaa baadhi ya watanzania,sisi tuliowaajiri ni serikali na ndo saizi yetu.Kwanini wasijadili tanzania daima,nipashe augazeti yote.hii inaonyesha wao wenyewe wameegemea upande mmoja.
YAANI TANGU DIARO AACHWE KWENYE BARAZA LA MAWAZIRI HII TV YAKE IMEKUA KIMEO HASWAA.
Ndo maana hata bunge siku hizi wanaonyesha live tu siku wabunge wameichachamalia serikali.
HAWAFAI
Wanajaribu kuelezea namna magazeti walivyoripoti
UHURU; Kinala wa Mgomo hoi- hapa mhariri ni wazi kafurahi sana kwa Dr. Olimboka kupigwa na kuumizwa na inaelekea tayari keshatoa hukumu
HABARI LEO: Serikali haihusiki na kupigwa kwa Dr. Olimboka, ni wazi wanajua kilichomtokea wakajitoa katika sakata hilo