WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Wakuu wa JF:
Katibu Mkuu wa CCM Abdulhaman Kinana na Katibu Mwenezi wa CCM Nape Nauye hivi sasa wako kwenye uwanja wa Kalangalala mjini Geita wakiwahutubia wananchi wa wilaya ya Geita na Mkoa mzima kwa ujumla,wamingia asubuhi kwa ndege na dhumuni la ziara yao ni kuhakikisha kwamba wanaimarisha mashina ya chama hicho.
Nitaendelea kuwajuza kwa sababu baada ya dakika chache wataanza kupikezana kwenye jukwaa.
UPDATES:
KINANA:-CCM ya sasa imezaliwa upya na inarudi kwenye enzi zake wakati wa Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere,
:-Ni lazima CCM ihakikishe kwamba inawasimamia watendaji wa serikali ili kuhakikisha kwamba ahadi zilizoahidiwa na chama,
hicho zinatekelezeka ili kuhakikisha kwamba wananchi wanapata maendeleo.
:-Watendaji wanaofuja fedha za serikali kukiona na kuanzia sasa mtumishi yeyote atakayebainika kula fedha za maendeleo,
ya wananchi hatahamishiwa mahali pengine atashughulikiwa na kuachwa hapohapo.
NAPE:Wanaodhani kwamba hizi ni nguvu za soda wasubiri tutakutana hukohuko na wajaribu waone,
:Haiwezekani chama kikatukanwa kwa sababu tu ya wajanja wachache ambao wanafanya kazi kwa utashi wao,
:Tuko kikazi zaidi na wanaodhani kwamba CCM haina meno sasa wajiandae kung'atwa na CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulhaman Kinana na Katibu Mwenezi wa CCM Nape Nauye hivi sasa wako kwenye uwanja wa Kalangalala mjini Geita wakiwahutubia wananchi wa wilaya ya Geita na Mkoa mzima kwa ujumla,wamingia asubuhi kwa ndege na dhumuni la ziara yao ni kuhakikisha kwamba wanaimarisha mashina ya chama hicho.
Nitaendelea kuwajuza kwa sababu baada ya dakika chache wataanza kupikezana kwenye jukwaa.
UPDATES:
KINANA:-CCM ya sasa imezaliwa upya na inarudi kwenye enzi zake wakati wa Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere,
:-Ni lazima CCM ihakikishe kwamba inawasimamia watendaji wa serikali ili kuhakikisha kwamba ahadi zilizoahidiwa na chama,
hicho zinatekelezeka ili kuhakikisha kwamba wananchi wanapata maendeleo.
:-Watendaji wanaofuja fedha za serikali kukiona na kuanzia sasa mtumishi yeyote atakayebainika kula fedha za maendeleo,
ya wananchi hatahamishiwa mahali pengine atashughulikiwa na kuachwa hapohapo.
NAPE:Wanaodhani kwamba hizi ni nguvu za soda wasubiri tutakutana hukohuko na wajaribu waone,
:Haiwezekani chama kikatukanwa kwa sababu tu ya wajanja wachache ambao wanafanya kazi kwa utashi wao,
:Tuko kikazi zaidi na wanaodhani kwamba CCM haina meno sasa wajiandae kung'atwa na CCM.