imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Ilikuwa ni mida ya saa tisa mchana,kijana wa kiarabu Razaq anaeish na mkewe kwenye nyumba ya familia yao,kilele zinasikika dada zake na Razaq wanamzomea Razaq huku wakimmiminia maneno machafu.
Kumbe Razaq alikuwa na uhusiano na dada mpangaji ambae ni mfanykz wa TTCL Ambae anasifika kwa kutoa tigo hapa mtaani,dada huyu ameolewa mara tatu na kuachika anaumbo zuri kiasi kila mwanaume huvutiwa pia hutoa huduma hiyo ya ziada.
Razaq alifumaniwa kwenye chumba cha huyo dada wakati alipoaga kwa mkewe anakwenda mazoezini na kuingia ndani kwa huyo dada bila kuonekana.
Wapangaji wanadaiana mchango wa umeme ndipo mke wa Razaq anagonga kwa lidada hilo na kuona kimnya huku mlango ukiwa umerudishiwa anafungua na kukuta mumewa akiwa kwenye kilele cha kuushuka mlima huo.
Du jamaa baada ya tukio hilo amekimbia huku yule dada akijitapa: "kama umeshindwa kumpa na anataka kwanini nisimpe?".
Kweli mapenzi upofu hadi leo asubuh Razaq hajarud mkewe na dada zake wanamtafuta.
Huku kukiwa na tetesi jana lidada hilo halikulala nyumbali walionwa wakiwa pamoja tabata rufita night club.
Du mtaani kwetu nouma.
Kumbe Razaq alikuwa na uhusiano na dada mpangaji ambae ni mfanykz wa TTCL Ambae anasifika kwa kutoa tigo hapa mtaani,dada huyu ameolewa mara tatu na kuachika anaumbo zuri kiasi kila mwanaume huvutiwa pia hutoa huduma hiyo ya ziada.
Razaq alifumaniwa kwenye chumba cha huyo dada wakati alipoaga kwa mkewe anakwenda mazoezini na kuingia ndani kwa huyo dada bila kuonekana.
Wapangaji wanadaiana mchango wa umeme ndipo mke wa Razaq anagonga kwa lidada hilo na kuona kimnya huku mlango ukiwa umerudishiwa anafungua na kukuta mumewa akiwa kwenye kilele cha kuushuka mlima huo.
Du jamaa baada ya tukio hilo amekimbia huku yule dada akijitapa: "kama umeshindwa kumpa na anataka kwanini nisimpe?".
Kweli mapenzi upofu hadi leo asubuh Razaq hajarud mkewe na dada zake wanamtafuta.
Huku kukiwa na tetesi jana lidada hilo halikulala nyumbali walionwa wakiwa pamoja tabata rufita night club.
Du mtaani kwetu nouma.