kamanda hassan ameanza kwa kutangaza nia ya kugombea udiwan katatya kati kama atapewa ridhaa na chadema ungana nasi moja kwa moja.
Mch msigwa ndan ya nyumba
Updates.......
Naibu meya wa jiji ndio anahutubia..mh lema ndo ameingia nw
Updates...kamanda mushi anasema '' kama kuna aliekuja kwasababu ya zzk aondoke na kama kuna mtu amekuja kwasababu ya mbowe nae aondoke 2mekuja kwasababu ya chadema''
Mch.msigwa ndo kapanda anatoa salamu zake kwa wana arusha...
Msigwa anasema huwez lala na nyoka ndani hata kama nyumba yako ni ya vioo..
Anasema zito ni sawa na mama anaye zaa mtoto halafu anaua unakamata mama unaweka ndani..
Anasewa wazir mkuu alitoa shinikizo kuwa ikulu kuwa zito anachakuliwa kuongoza kamati ya kudumu...
Anauliza wangap wanaunga mkono maamuz ya kamat kuu makamanda wote mikonoo juu.
Updates: anasema 2mempa cku 14 asipojieleza vizur 2napiga chini
Kamanda lema ndan ya jukwaa ss....anaelewana na lowasa aue chadema halafu aje kuwa wazir kwenye serekali ya lowasa.
Updates...
Anapigilia misumari sana anasema mambo hayitaji kanuni yanahitaji ubabe.
Mch msigwa ndan ya nyumba
Updates.......
Naibu meya wa jiji ndio anahutubia..mh lema ndo ameingia nw
Updates...kamanda mushi anasema '' kama kuna aliekuja kwasababu ya zzk aondoke na kama kuna mtu amekuja kwasababu ya mbowe nae aondoke 2mekuja kwasababu ya chadema''
Mch.msigwa ndo kapanda anatoa salamu zake kwa wana arusha...
Msigwa anasema huwez lala na nyoka ndani hata kama nyumba yako ni ya vioo..
Anasema zito ni sawa na mama anaye zaa mtoto halafu anaua unakamata mama unaweka ndani..
Anasewa wazir mkuu alitoa shinikizo kuwa ikulu kuwa zito anachakuliwa kuongoza kamati ya kudumu...
Anauliza wangap wanaunga mkono maamuz ya kamat kuu makamanda wote mikonoo juu.
Updates: anasema 2mempa cku 14 asipojieleza vizur 2napiga chini
Kamanda lema ndan ya jukwaa ss....anaelewana na lowasa aue chadema halafu aje kuwa wazir kwenye serekali ya lowasa.
Updates...
Anapigilia misumari sana anasema mambo hayitaji kanuni yanahitaji ubabe.