Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Mkama anajigongagonga tu dogo kamshika pabaya!!!!! Je tutafika?
we vipi? unatoa message kama unaowatarifu wanaishi kwenu au unakaa nao nyumba moja? haueleweki bora ufunge domo.Mkama anajigongagonga tu dogo kamshika pabaya!!!!! Je tutafika?
Umeo ehe! Yani fikra alizotumia mwalimu ktk nyakati za ukombozi yeye ndizo anazo wahubiri wanamageuzi wa leo?Huyu sijui kama haoni umuhimu wa kufanya comparative analysis kati ya ujamaa,ubepari na mfumo mzima wa communism in the context of globalization? Hivi anautazama kweli mfumo wa China? CCM wanafanya masikhara sana
Ahaaaa! Dogo nimempata kwa jina moja la Abdul, kipindi kinaongozwa na bwa Makwayabwa mdogo yupi? diamond ? bwanake wema?
Mkuu, kamshika pabaya wapi? FafanuaMkama anajigongagonga tu dogo kamshika pabaya!!!!! Je tutafika?
Bora uwaambie wewe, inakera mtu anapoandika vitu nusu nusu wakati wengine hatuna umeme wa kuwasha tv.hebu kidogo mwageni vizuri mchele huo tudonoe,wengine umeme umekatika!.
post hii ni kichefuchefu............. hivi unadhani kila mtu yupo kwenye tivii?Mkama anajigongagonga tu dogo kamshika pabaya!!!!! Je tutafika?
Mkuu, kamshika pabaya wapi? Fafanua