Live..mdahalo shivji,kingunge...itv

Shivj, kingunge ndani ya mdahalo live ITV maadhimisho ya kumbukumbu ya nyerere...

Hakika kwenye Red huyo ndio the true son kama Mwalimu JK. Watanzania wajue kuwa hakuna mwingine aliyesalia anaejua kupanga namna ya kutuvusha.Yaaani hakika huyi ndie mfuasi halisi wa Mwalimu kwa maneno na kwa matendo."

Kama tunataka mfuasi wa kutuvusha kwenye mpito huu wa shaka ni huyu Mzee Pro Shvji hakika mmeona kupitia shairi alilosoma Pro Bashiru kwa niaba ya Mzee huyu.

Hakika shairi lilisomwa na Bashiru ni cheche mpya na salamu kwa watawala.

Nimepapenda sana point anamtambulisha kigogo wa siasa za CCM [Kingunge] wa Propaganda za CCM akatumia neno kisayansi tena kwa kusisitiza [Please] wenye akili zao waende kichwani.
 
Ikiwezekena anayeangalia avoluntie kutuwekea hapa quick updates za mdahalo.
sababu anapoongea Shivj huwa ni darasa mwanzo mwisho
 
Ikiwezekena anayeangalia avoluntie kutuwekea hapa quick updates za mdahalo.<BR>sababu anapoongea Shivj huwa ni darasa mwanzo mwisho
 
Pro Shivji kaazisha mada kuhusu msimamo wa Mwalimu na Siasa za Ujenzi wa Taifa na Itikadi ya Mwalimu juu ya Wazalisha wadogo hili lakini kamwanzishia mada kwa kuwa yeye Kingunge ndiye alishiriki kuandika sera za chama cha mapinduzi hivyo azungumze kwa kuwa alikuwa kalibu na mwalimu hivyo anamjua Mwalimu vilivyo.

Kajieleza lakini inaonekana yuko off kiasi msemaji wa tatu Pro Ng'wanza Kamata kaingilia kati kuomba kuwa labda amweleze vizuri kujua nini Pro Shivji alitaka akajieleze vizuri.
 
Kingunge leo kama hajakimbia sijui maana kigugumizi kingi.....................
 
Pro Shvji anendelea kumbana Kingungea aelezee ni kwa namna gani mwalimu alikuwa anapambana na zana ya unyonyaji kwa kupitia tabaka.Inaonekana anakwepa swali hilo ndio maana mwanzoni nimesema muwe makini kujua Pro anaposema kuwa huyu Kingunge kisayansi ndie alikuwa mwandishi wa propaganda za CCM.Kwa sasa kaweka pending swali la Pro la Tabaka
 
Pro Shvji anendelea kumbana Kingungea aelezee ni kwa namna gani mwalimu alikuwa anapambana na zana ya unyonyaji kwa kupitia tabaka.Inaonekana anakwepa swali hilo ndio maana mwanzoni nimesema muwe makini kujua Pro anaposema kuwa huyu Kingunge kisayansi ndie alikuwa mwandishi wa propaganda za CCM.Kwa sasa kaweka pending swali la Pro la Tabaka
anazidi kukwepa sijui kama ataenda na kasi ya Sshvji
 
Du Pro kweli Mzee huyu kichwa sana yani anamkubusha kingunge kitu alichoandika Kingunge Mwenyewe,Kingunge !!!!!!!!!
 
Mwishoni kaweka wazi kuwa DOLA [SERIKALI ] ni kitu cha wachache na kuwa si MALI YA WANANCHI hakika huyu ndiye kingunge nimesema muwe makini kumuelwa Pro Shviji.Ila leo kafunga kazi kaingusha CCM.Kupitia mjadala huu CCM inakzai kuludisha imani kwa umma kwa kuwa watu makini watahoji KAULI HIYO
 
Mwishoni kaweka wazi kuwa DOLA [SERIKALI ] ni kitu cha wachache na kuwa si MALI YA WANANCHI hakika huyu ndiye kingunge nimesema muwe makini kumuelwa Pro Shviji.Ila leo kafunga kazi kaingusha CCM.Kupitia mjadala huu CCM inakzai kuludisha imani kwa umma kwa kuwa watu makini watahoji KAULI HIYO
 
Back
Top Bottom