Hizi ziara za mbowe na slaa naona zina ajenda mbili kuu. Kwanza kuutangazia umma wa watz kuwa adui wa chadema ni Zitto, sio ccm tena. Na ajenda ya pili ni kupata support ya wananchi ili kuhalalisha kinywaji haramu aina ya gongo. Hayo ndio yaliyoibuka katika ziara hizo
Kweli kabisa Sixgates. Kuna uwezekano Leo Mwenyekiti naye akahararisha kitu kingine ambacho ni haramu. Tusubiri. Yetu masikio.